Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo


Wewe hujui kitu kuhusu Rwanda, tulia wakufundishe wanaojua
 
JWTZ kupitia twita limesema kuwa mtandao wa Rwanda uitwao Umuvugiza ndio unaotumiwa kutuchokoza
 
Ni yakweli mkuu, amekamatwa leo na ni Mhutu wa Rwanda

ni mbinu za kagame za kutuvuruga! yupo shushushu mmoja wa kinyarwanda mwishoni mwa miaka ya 90 alikuwa maeneo ya kisarawe baada kuhisi amestukiwa alitorokea kusikojulikana! inabidi raia tuwe tunatoa taarifa kwa mtu yeyote ambaye hajulikani, sisi ndiyo wa kwanza kulilinda taifa letu, jeshi wanatupa usaidizi pale tunapoelekea kuelemewa! alikuwa anajidai kichaa na kufanya mazoezi asubuhi wakati JWTZ wakiwa mazoezini asubuhi!
 

Nikweli ulinzi wa nchi yetu unaazia kwetu sote wananchi
 
Mkuu naomba utumie neno zuri linalowafaa Watutsi NI WATU WAKUDHARAU WENYE ASILI YA KIBANTU NA KUWANYANYAPAA.Tunao mitaani wakijisifia uzuri wa dada zao na kuona hata ukimwoa Mtutsi atajiiba akasex na mtutsi mwenzie akipata mimba huyu mtoto baadae hutakuja muona anadai wanalinda kizazi chao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…