Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Bila kina kagame Congo ingekuwa chini ya Mobutu au kibaraka wake mpaka sasa,the only thing Congolese wanatakiwa ni kumshukuru kagame kuwaondolea Mobutu na sio kuwahifadhi FDLR wanaotaka kufanya genocide nyingine Rwanda,Kabila aliwageuka wenzake na kila mtu anajua and he paid the price,and don't fool yourself ....and no doubt Nyerere was a big time supporte of RPF and kagame na aliwaita serikali ya Habyarimana wauaji na he never liked mobutu na angekuwa Raisi nisingeshangaa angepeleka majeshi kuwasaidia kina Kagame.

Wewe hujui kitu kuhusu Rwanda, tulia wakufundishe wanaojua
 
JWTZ kupitia twita limesema kuwa mtandao wa Rwanda uitwao Umuvugiza ndio unaotumiwa kutuchokoza
 
Ni yakweli mkuu, amekamatwa leo na ni Mhutu wa Rwanda

ni mbinu za kagame za kutuvuruga! yupo shushushu mmoja wa kinyarwanda mwishoni mwa miaka ya 90 alikuwa maeneo ya kisarawe baada kuhisi amestukiwa alitorokea kusikojulikana! inabidi raia tuwe tunatoa taarifa kwa mtu yeyote ambaye hajulikani, sisi ndiyo wa kwanza kulilinda taifa letu, jeshi wanatupa usaidizi pale tunapoelekea kuelemewa! alikuwa anajidai kichaa na kufanya mazoezi asubuhi wakati JWTZ wakiwa mazoezini asubuhi!
 
ni mbinu za kagame za kutuvuruga! yupo shushushu mmoja wa kinyarwanda mwishoni mwa miaka ya 90 alikuwa maeneo ya kisarawe baada kuhisi amestukiwa alitorokea kusikojulikana! inabidi raia tuwe tunatoa taarifa kwa mtu yeyote ambaye hajulikani, sisi ndiyo wa kwanza kulilinda taifa letu, jeshi wanatupa usaidizi pale tunapoelekea kuelemewa! alikuwa anajidai kichaa na kufanya mazoezi asubuhi wakati JWTZ wakiwa mazoezini asubuhi!

Nikweli ulinzi wa nchi yetu unaazia kwetu sote wananchi
 
uongo hujitenga ukweli IKO SIKU UTAJILIKANA mtoa Mada ameeleza vizuri nia ya watutsi ni kupanua Himaya yao
Hawa watu tatizo lao hawataki kushirikiana na wenzao na ni janga kwa maziwa makuu. Mwl Nyerere alijaribu sana kuwatetea na kuficha alichokijua na mpaka Habyarimana anatunguliwa hatukusikia Watutsi wakilaaniwa.
Lakini kwa hili imefika sasa Walaaniwe na waondolewe kila kona kwani nia yao sio nzuri
soma hapa

Mnaweza kudhani watu wote wanaounga mkono Wanyarwanda waondoke (hasa Watutsi) mkadhani ni Wahutu lakini ukweli haujifichi hawa jamaa ni vigumu kuishi nao kwa karne hizi, bado wanatamani kutawala binadamu wenzao
Mkuu naomba utumie neno zuri linalowafaa Watutsi NI WATU WAKUDHARAU WENYE ASILI YA KIBANTU NA KUWANYANYAPAA.Tunao mitaani wakijisifia uzuri wa dada zao na kuona hata ukimwoa Mtutsi atajiiba akasex na mtutsi mwenzie akipata mimba huyu mtoto baadae hutakuja muona anadai wanalinda kizazi chao.
 
Back
Top Bottom