Acheni kutetea ujinga wa Manara kwa visingizio vyenu vya ajabu, hao serikali kama wana ubavu huo waambie wajiingize kwenye masuala ya mpira halafu muone FIFA watatufanya nini.
Huyo Manara ni mswahili anayetakiwa kufundishwa adabu, asiichezee mamlaka ya mpira wa miguu Tz.