cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kapigwa ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FIFA nao wamejichanganya katk suala la URUSI kwakuingilia hbr za siasa na kuitoa Urusi katk mechi za kufuzu Qatar... hapa ndio utagundua huwezi kuitenganisha serkali na mpira..Acheni kutetea ujinga wa Manara kwa visingizio vyenu vya ajabu, hao serikali kama wana ubavu huo waambie wajiingize kwenye masuala ya mpira halafu muone FIFA watatufanya nini.
Huyo Manara ni mswahili anayetakiwa kufundishwa adabu, asiichezee mamlaka ya mpira wa miguu Tz.