Ijue sababu Kubwa ya Yanga SC leo kwa Makusudi Kumtumia Mhamasishaji Mfungwa Haji Manara katika Tamasha la Wananchi Day kwa Mkapa

Ijue sababu Kubwa ya Yanga SC leo kwa Makusudi Kumtumia Mhamasishaji Mfungwa Haji Manara katika Tamasha la Wananchi Day kwa Mkapa

Wewe bado binti mdogo huna ulijuwalo katika hili.

Yanga na Simba ni timu zinazomilikiwa na Serikali, hao wawekezaji unaowaona wewe ni kiini macho tu, ukikuwa ndio utaujuwa ukweli huu.

Yanga ni pasee Serikali usidanganywe na mtu, Simba ni jina la Kawawa Simba wa vita, Sunderland ndio ilikuwa timu ya waarabu wakanyang'anywa na Serikali wakakabidhiwq akina Abunuwasi na jina likapewa la Kawawa.

Asilimia 100 timu hizo zimeanzishwa kwa malengo ya kisiasa na hakuna tajiri yoyote atakuja kumiliki timu hizo waulize Mo Dewji na Manji watakueleza vizuri.
Haya maelezo yako FIFA wanayatambua??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku utamkuta Karia ananyea debe kwa uhujumu uchumi na utakatishaji pesa ndio utaijuwa serikali, mimi simuongelei kichaa kama Manara.

Ukitaka kuijuwa vizuri serikali na TFF si lolote kwa serikali muulize Aden Rage na Michael Wambura watakueleza vizuri.
Ongezea Jamali Malinzi.
 
Wanachokitafuta Yanga SC ( tena kwa Makusudi ) kwa Kushauriwa na Washauri Majuha ni kutaka Kujiunganisha Wao kama Klabu katika Kesi ya Mhamasishaji wao Haji Manara ili wakianza Kuikabili Kisheria isiwe ni against Manara bali iwe ni against Wao ( kama Klabu ) kisha waweze Kuisumbua na Kuitishia TFF kwa Kigezo kuwa Wao ni Timu Kubwa ambayo bila yenyewe na ile ya Simba SC basi TFF hawawezi Kuingiza Pesa yoyote ( Kipato chochote ) kile.

Calculations hizi za Yanga SC leo zimepigwa vibaya na Laana imeanza katika Kufungwa Kwao leo na Vipers FC kwani upo Uwezekano Yanga SC ikapigwa Faini Kubwa, Viongozi wake Kufungiwa na Adhabu ya Mhamasishaji wao Haji Manara ikawa ni ya Maisha ( ya Kudumu ) baada ya Kuikaidi fupi ya Miaka Miwili na 20 Milion Fine yake.

Nimesikitika na naiona Hatari mbele.
Yanga ni dude kubwa sana

Itajinyea mpaka utatapika

Yanga is a big boss
 
Wewe kolo umeona walichofanyiwa Chelsea na serikali ya uingereza ?. Je hiyo FIFA yako ilikuwa imelala usingizi ?
Wamefanyiwa chelsea au amefanyiwa mmiliki wa chelsea?
 
Ingizeni siasa kwenye mpira, yatatukuta ya Kenya. Tunatazama tyuuh
Kuna watu wajinga sana upande wa pili.
Kuingiza siasa katika soka ni kupandikiza chuki mifarakano na vita,jambo ambalo ni kinyume kabisa na dhamira ya kuwepo michezo
 
Wewe bado binti mdogo huna ulijuwalo katika hili.

Yanga na Simba ni timu zinazomilikiwa na Serikali, hao wawekezaji unaowaona wewe ni kiini macho tu, ukikuwa ndio utaujuwa ukweli huu.

Yanga ni pasee Serikali usidanganywe na mtu, Simba ni jina la Kawawa Simba wa vita, Sunderland ndio ilikuwa timu ya waarabu wakanyang'anywa na Serikali wakakabidhiwq akina Abunuwasi na jina likapewa la Kawawa.

Asilimia 100 timu hizo zimeanzishwa kwa malengo ya kisiasa na hakuna tajiri yoyote atakuja kumiliki timu hizo waulize Mo Dewji na Manji watakueleza vizuri.
Utopolo aka kinye FC kweli hamna akili kiasi hiki?
 
Wamefanyiwa chelsea au amefanyiwa mmiliki wa chelsea?
Tatizo la makolo ni mambumbumbu kama alivyowaita Rage. Hukusikia Chelsea kuchukuliwa na serikali? . walikatazwa kusajiri. Kuingiza mashabiki . kuuza jezi nk . je huko sio serikali kuingilia soka ?
 
Kuna watu wajinga sana upande wa pili.
Kuingiza siasa katika soka ni kupandikiza chuki mifarakano na vita,jambo ambalo ni kinyume kabisa na dhamira ya kuwepo michezo
Wanajifanya wao ndo wapo juu ya kila kitu. Sie tunatazama tyuuh.
 
Acha tuone hatua gani tff itachukua


TFF Washalianzisha....
JamiiForums-1350696283.jpg
 
Siku utamkuta Karia ananyea debe kwa uhujumu uchumi na utakatishaji pesa ndio utaijuwa serikali, mimi simuongelei kichaa kama Manara.

Ukitaka kuijuwa vizuri serikali na TFF si lolote kwa serikali muulize Aden Rage na Michael Wambura watakueleza vizuri.
Ongeza na Malinzi
 
Hao viongozi wa FIFA wanapelekwa jela na serikali kwa uhuni walioufanya kwenye mpira.
Haya maelezo yako FIFA wanayatambua??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza Tanzania mwanachama wa FIFA ni TFF na siyo serikali.
 
Tatizo la Shirikisho letu la soka na wadau wake lipo HAPO, kwenye mambo ya kisheria, TUNATUMIA mihemuko na fikra zetu, bila kuihusisha SHERIA.

MASHTAKA yamefunguliwa kabla ya kesi kutajwa HUKUMU imeishatolewa Sasa hapo kuna HAJA ya kuendelea kusikiliza kesi.?

Afande Mstaafu, Alfred Tibaigana wakati anaiongoza Kamati ya Maadili alikuwa amenyooka, mwenye kuhitaji ushahidi.

Hukumu zake kila mpenda soka alikubali kanuni zinafuatwa na kutekelezeka.

Haji , Karia, Mtanda, Mongella na wadau kibao waliokuwepo jukwaa kuu pale Arusha HAKUNA hata mmoja aliyehojiwa kuelekea HUKUMU.

ndo maana leo mdau anajuaa mpaka adhabu itakayotolewa maana Kesha waona wakiwa na HATIA.
 
Hao viongozi wa FIFA wanapelekwa jela na serikali kwa uhuni walioufanya kwenye mpira.

Kwanza Tanzania mwanachama wa FIFA ni TFF na siyo serikali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom