Ijue sababu Kuu ya kwanini Injinia Hersi Said aliambatana na Haji Manara kwenda kumuomba Radhi Rais wa TFF Karia

Waganga wa kienyeji miaka hii wamekuwa wengi sana
 
kwanini wengine wameomba msamaha ila adhabu zimebaki vilele yeye aombe msamahaa afu apunguziwe yeye ni nani kwenye huu mpira wa Tz
Nasubiri kuona Majibu juu ya hili Swali lako lililokwenda Kidato ( Shule ) kabisa.
 
Si ubadili tu title iwe "Bumbuli tafuta kazi nyingine"
Maana Uzi wote unamnanga Bumbuli kuhusu kibarua chake
 
MAKOLO Tulia
 
Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa mfano pale simba Mo alijipangia bei nakumbuka alitoa mpaka muda simba waamue kama hawataki hizo pesa pesa bilion 20 anaweza kununua Bank.

Yule muhindi ni tapeli, hebu soma jinsi yanga watakavoipata thaman halisi ya Club yao na uwekezaji utakavo kuwa.

“Asilimia 49 zimegawanywa kwa watu wanne tofauti ambao watakuwa na uwiano wa asilimia 12 kutoka taasisi au watu tofauti tofauti ambao vyanzo vya mapato hawashabiani kimapato kutakuwa na kampuni maalumu itakayofanya kazi ya kujua thamani ya klabu na wataweka wazi hadharani na mwenye uwezo wa kununua hisa atapata nafasi hiyo bila upendeleo wowote” - Injinia Hersi kuhusu uwekezaji ndani ya Yanga

Sisi mbumbumbu rage hakukosea kutubatiza hili jina,, leo hii mo anaweza kuamua kisusa tu na uwekezaji wake hewa na tutakarudi matopeni
 
Cha ajabu aliyetunga jina "makolo" ambalo tunalishabikia kikasuku ndiye aliwahi sema "sisi wananchi hatuna akili isipokuwa baba yake na JK tu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…