Ijue sayansi ya chanjo hizi na chimbuko la wasiwasi wake. Hata Ulaya ni 5% tu ndiyo wamechanja katika miezi 3. Je, wanatusubiri sisi?

Kuna kitu hakiko sawa

Ni wazi kuna kitu hakipo sawa. Hadithi zimekuwa nyingi:

1. Mara mabeberu kuvuna mapesa kwenye chanjo. Mara kwanini chanjo bure.
2. Mara vita vya kiuchumi dhidi ya Tanzania hali pana watu Azerbaijan hawajui pana watanzania nao wanakufa na kupambana kivyao.
3. Mara Mungu katuvusha kwa maombi
4. Mara nyungu inayeyusha kirusi.
5. Mara chanjo zinaleta Corona
6. Nk.

Ukweli ni kuwa Tanzania serikali inajitahidi kutowajibika kwa lolote.

Iko busy na miradi haina muda na maisha ya watu inaowakamua kodi.

Jambo la aibu sana kwa mwenye akili yeyote.
 
Mtajishaua sana na vi websites mnavyovinukuu nje ya mada. Utakuwa chanjo uko ndani ya wiki za mwanzo mlitegemea 100% ya watu kuwa vaccinated tayari?

Kwamba zingine za hivi pelekeeni wajinga.
Hili ndiyo tatizo. Yaani watu wanadhani elimu inapatikana kwenye kampuni ya wamarekani inayoitwa google badala ya shuleni na vyuoni. Wao ni ku google tu na cho chote watakachokipata huko google wanaamini ndiyo ukweli.
 
We akili huna ndio maana hata kutongoza hujui, unakuja kutafuta mke jf. We jamaa nimekudharau sana
Poa... Sasa Ulitaka wale Dada zako wanaododea nyumbani tusiwatafute huku mtandaoni?? Pole Sana inaelekea wewe Ni mtu dhaifu Sana unakimbilia kutafuta udhaifu wa mtu ili upambane naye... Wewe ungesimamia hoja ya Mimi Kukuita MPUMBAVU
 

Rais angekuwa na maono hayo asingekuwa mpika data. Hakuna jizi lolote la kura lenye mtazamo wowote wa maana. Ukishaona kiongozi anapanga na kusimamia wizi wa kura nchini mwake, basi ujue huyo ni muhuni mwenye madaraka. Hivyo kama ni kumuamini muamini ww na sio wote. Weka matokeo ya ile dawa yake aliyofuata madagascar.
 
Nitawavumilia tu kwani nao ni binadamu kama sisi - wenye DNA bilioni 3 kila mmoja kwenye kila seli zao!

Umvumilie nani? Hizi propaganda mfu wapelekee huko vijijini ndio wanalishwa haya matapishi.
 

Huyo bwana ana wataalamu lukuki wakiwamo maprofesa wabobezi wa kwenye fani husika.

Wataalamu hao wamekuwa wakiwa paraded naye kwenye mahospitali mbali mbali kutuonyesha kuwa hawapo wagonjwa wa Corona, hali wanaokufa tunawaona.

Huyo bwana ndiye aliye busy kutuonyesha haupo ugonjwa kwa jina Corona hapa nchini bali vita vya kiuchumi dhidi yake yeye binafsi.

Myths unazojaribu kuzi propagate pia hazina mashiko yoyote:

Chanjo zinazokuja zikiwamo za kupitia COVAX hazina shuruti yoyote zaidi ya kuwa walengwa wa mwanzo ni walioko kwenye hatari zaidi. Tafsiri za hii zinatofautiana baina ya nchi na nchi.

Wengine wanaona ni hawa:

Wafanyakazi wa afya, wazee na wenye magonjwa mengine.

Kwingine kama Uganda wanaona na polisi wawemo kwenye kundi hilo.

Kina Mpango wamenusuriwa na ventilators si nyungu kama ambavyo unavyojaribu kuipamba hali ukijua haina mchango wowote katika kuleta ahueni yoyote palipo na ugonjwa huu hatari.

Huyu bwana asiyejua uwepo wa hili janga:



Hawezi kukwepa lawama kwa kila kifo kinachopotea pasipo na kuchukua hatua zozote za kuwahami walioko hatarini.

Kenge atasikia tu hata kama wengine sisi ugonjwa huu utatuondoa.

Hatudanganyiki!
 
UK vifo vimepungua tena sana.wenyewe wanasema chanjo imesaidia. So far wenye umri up to 50's wameshapata chanjo. Chanjo yao inaitwa Oxford vaccine
 
Wanasayansi wa sayansi za binadamu wako buisy na maisha ya watu ikiwamo ikiwamo haya macorona. Wanasayansi wa sayansi za uhandisi wa miradi ya ujenzi wako buisy na ujenzi wa miradi ya miundombinu mbali mbali ya nchi. Kila Kila mwanataaluma yuko buisy kwenye eneo lake. Hata mfanyabiashara au machinga na mamantilie wako buisy kwenye maeneo yao ya kazi.

Kila mtu yuko buisy kwenye eneo lake la kazi, liwe ni la kupashana habari na kadhalika yuko buisy. Mwanasiasa naye yuko buisy kwenye eneo lake la kazi ambalo ni kuwawezesha kwa mali na hali hawa wote kuendelea kuwa buisy na siyo kuwakwamisha. Ndiyo gurudumu la maendeleo ya watu na nchi yao lilivyo.
 
Jambo la muhimu tutafute chanjo iliyosalama na inayofanya kazi yake vizuri. tena hilo lifanyike haraka.
 
@Dr Akili nilikuambia subiri bavicha waje uone

Haihitaji bavicha kuona utopolo uliojaa kwenye mada.

Hujiulizi kama nyungu ni kama anavyoiongelea mleta mada kwa nini mtu yeyote anakufa kwa Corona duniani?

Utopolo wa hivi kwao ni chattle vijijini jombi.

Mleta mada hana jipya bali ni mwongo wa wazi. Huyu anaweza kuwafumba wajinga tu.
 
Huyo bwana ana wataalamu lukuki wakiwamo maprofesa wabobezi wa kwenye fani husika.

Wataalamu hao wamekuwa wakiwa paraded naye kwenye mahospitali mbali mbali kutuonyesha kuwa hawapo wagonjwa wa Corona, hali wanaokufa tunawaona.
Nadhani mimi na wewe tunaongelea watu wawili tofauti. Mimi ninaongelea mihemuko ya kisiasa aliyoionesha Mnyika jana kwenye vyombo vya habari.
 

Hukumaliza jombi wengine umewasahau:

1. Wapika takwimu wako busy kupika takwimu kuwa huu ugonjwa kwetu haupo.
2. Wapiga propaganda nao wako busy kutuaminisha tunakabiliwa na vita vya kiuchumi.
3. Waongo wako busy kutuongopea hizi chanjo zinaleta Corona.
4. Wasiokuwa na uchungu na maisha ya watu mko busy kuwataka wengine waachane na wanaokufa wajifie wa kuishi waishi macho yenu kwenye kodi tu.
5. Nk

Mkuu #4 inakuhusu sana!
 
Umezungumza kiutaalam Sana, shida ni hawa watu wa bavicha. Subiri uone
Watu wa bavicha ndo tuwafanyie majaribio kwa kuwa wana hamu nayo sana.
Sasa kama wenye umri mkubwa huku na wenye magonjwa hawatakiwi bali wanatakiwa watu wenye afya njema huoni kuna shida?

Maana wanaokufa huku ni wenye afya mgogoro,
Sasa wenye chanjo wanataka watu wenye afya, na kundi la nyumbu wanaililia chanjo,

Mimi nadhani wangejiorozesha kisha serikari iwachanje tu hao nyumbu ili iwakoroge wenyewe.
 
Ninakuvumilia.
 
Nadhani mimi na wewe tunaongelea watu wawili tofauti. Mimi ninaongelea mihemuko ya kisiasa aliyoionesha Mnyika jana kwenye vyombo vya habari.

Oops. Wala sikuwa na habari Mnyika kaongea lolote.

Wangu mimi nilikuonyesha mapema ni yupi. Unaweza kurejea ulipochukua hoja iliyopelekea haya yangu ya nyongeza.

Wangu ni huyu wa kwenye red. Huyu bwana anabeba lawama zote kwenye hili. Yeye na vibaraka wote bila kumuonea yeyote haya, ukiwamo wewe mkuu:



Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…