Mkuu wa hiyo serkal ni nani kama sio rais tena ndiye amrijeshi Mkuu wa nchi.Hakuna kitu kama hicho.., ardhi yote ni mali ua serikali na sisi ni wapangaji, yeye ni kiongozi tu wa serikali..
We mzee kwanini unakuwa mjinga sana?? Kwanini unapotosha watu kwa upumbaffu wako?Katiba ndiyo inayompa Raisi wa JMTZ huo uwezo, unajua kwamba Mbezi beach yote kuanzia njia panda ya Kunduchi mpaka Tangi bovu lilikuwa shamba la Katani la Mgiriki, Nyerere akamnyang'anya na kupima viwanja ambavyo leo hii watu wamejenga?
Sheria zenyewe za JMTZ zinamtambua kwamba Raisi wa JMTZ yuko JUU ya Sheria za JMTZ!
Acha upotoshaji mkuu, kama hujui sheria kaa kimya siyo unaropokaSiyo tu iko chini yake bali ni mali yake, na sisi wote ni Wapangaji tu, kwa kifupi Raisi wa JMTZ anaweza kukufuza TZ!
hii 150CM inapatikana kwenye sheria ipikwa nn almashauri haziwashauri watu kuacha 150cm kila kwenye bacon kwa ajili ya uchochoro Au wanapenda kuja kubomoa baada ya watu kujenga
hii nondo inapatikana kwenye sheria ipiVichochoro vya kwenda wapi tena mdau wakati viwanja vikipimwa vinakuwa na barabara kwa mbele na vile vya nyuma vinakuwa na barabara yaani mtaa mmoja unaangalia mashariki na unakuwa na barabara na mtaa wa nyuma, nyumba zake zinaangalia magharibi na kunakuwa na barabara yake hivyo sidhani kama uchochoro unahitajika tena ...sana sana unatakiwa nyumba yako uhakikishe unapoijenga usimalize kiwanja chote yaani ndo hiyo 150cm unayoisema inakuwa kati ya ukuta wa nyumba na mpaka wa kiwanja ambapo unaweza ukapiga fence. Kwa mbele sasa ndio unaweza ukaacha hiyo 150cm kwa ajili ya huduma za kijamii kama nguzo ya umeme ama kujenga mtaro wa maji maana ukikimaliza kiwanja chote alafu wanajenga mtaro unakuwa usawa fence hapo ni hatari (ninavyoelewa mimi, unless kama viwanja vimepimwa kwa upimaji shirikishi ambapo tayari watu walikuwa wanaishi)
hii nondo inapatikana kwenye sheria ipi
Ardhi ni mali ya umma na rais ndiye mdhamini (kif. 4 - 5) (trustee - hiyo sijajua kwa kiswahili).