Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

Hakuna kitu kama hicho.., ardhi yote ni mali ua serikali na sisi ni wapangaji, yeye ni kiongozi tu wa serikali..
Mkuu wa hiyo serkal ni nani kama sio rais tena ndiye amrijeshi Mkuu wa nchi.

*A good wife is from God, but a good husband is from Kigoma*
 
Katiba ndiyo inayompa Raisi wa JMTZ huo uwezo, unajua kwamba Mbezi beach yote kuanzia njia panda ya Kunduchi mpaka Tangi bovu lilikuwa shamba la Katani la Mgiriki, Nyerere akamnyang'anya na kupima viwanja ambavyo leo hii watu wamejenga?
We mzee kwanini unakuwa mjinga sana?? Kwanini unapotosha watu kwa upumbaffu wako?

Ni kweli Rais anaweza kuhamisha watu katika ardhi, lakini anapaswa kuwafidia kwa kuwapa ardhi nyingine, au kwa fedha taslimu.

KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, PAMOJA NA SHERIA ZA ARDHI ZINAELEZA BAYANI KUWA WOTE WALIOCHUKULIWA ARDHI KWA "COMPULSORY ACQUISITION" WANAPASWA KUPEWA FIDIA TOSHELEZI NA YA HAKI.

RAIS ANAWEZA TU KUCHUKUA KIPANDE FULANI CHA ARDHI KWA MANUFAA YA UMMA NA SI VINGINEVYO.

USIPOTOSHE WATANZANIA.

NA NILISHAKWAMBIA, NINAVYOKUSOMA UNAONEKANA KAMA ZEE LISILO NA DIRA.

HUENDA HAUNA MKE, HAUNA WATOTO, NA UNA MSONGO MKUBWA WA MAWAZO.

BADILIKAAA!! !
 
Vichochoro vya kwenda wapi tena mdau wakati viwanja vikipimwa vinakuwa na barabara kwa mbele na vile vya nyuma vinakuwa na barabara yaani mtaa mmoja unaangalia mashariki na unakuwa na barabara na mtaa wa nyuma, nyumba zake zinaangalia magharibi na kunakuwa na barabara yake hivyo sidhani kama uchochoro unahitajika tena ...sana sana unatakiwa nyumba yako uhakikishe unapoijenga usimalize kiwanja chote yaani ndo hiyo 150cm unayoisema inakuwa kati ya ukuta wa nyumba na mpaka wa kiwanja ambapo unaweza ukapiga fence. Kwa mbele sasa ndio unaweza ukaacha hiyo 150cm kwa ajili ya huduma za kijamii kama nguzo ya umeme ama kujenga mtaro wa maji maana ukikimaliza kiwanja chote alafu wanajenga mtaro unakuwa usawa fence hapo ni hatari (ninavyoelewa mimi, unless kama viwanja vimepimwa kwa upimaji shirikishi ambapo tayari watu walikuwa wanaishi)
hii nondo inapatikana kwenye sheria ipi
 
hii nondo inapatikana kwenye sheria ipi

Vitu vingine ukivitafuta kwenye maandishi utapata tabu sana......ila ukifuata taratibu za ujenzi kwa kuomba kibali cha ujenzi utakutana na hizi nondo automatically
 
Back
Top Bottom