Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ulichoandika na unavyojichekesha ni dhahiri fuvu lako Lina shida,kwa hiyo msaada hulipiwa na anayesaidiwa!?..
Hata Kama ni msaada ndio upewe msaada wa tende na nyama ya ngamia? Wenzetu kwa nn hamna akili?
 
Unaona ulivyo hauna akili? Mimi muda wa kupigana na mtu sababu ya dini nautoa wapi? Hapo nakueleza wewe uliyesema unaanza kucheza judo na karate.

Hivi kwa nn mnakosaga akili? Kweli kile kitabu ndio kinawalemaza ubongo?
Sasa hizo chuki mnazoleta mwishoni ni huko, ndio maana mnaambiwa acheni udini.
 
Msaada wa kipande cha andazi na mkate kila ijumaa? Huo ni msaada au ni upumbavu

Jumamosi hadi alhamisi wanakula nn? Na hiko kipande cha andazi na mkate kinamsaidia nn kwq siku?
 
Msaada wa kipande cha andazi na mkate kila ijumaa? Huo ni msaada au ni upumbavu

Jumamosi hadi alhamisi wanakula nn? Na hiko kipande cha andazi na mkate kinamsaidia nn kwq siku?
Naona ulivyo mpumbavu unaitukana mpaka bibilia imekuonesha thamani ya msaada hata ukiwa ni mdogo

Tatizo nyie hamna akili na hata maandiko yenu yalivyo wafunza hamuyajui.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hizo chuki mnazoleta mwishoni ni huko, ndio maana mnaambiwa acheni udini.
Wewe ni zaidi ya mpumbavu, Mimi nimekujibu kulingana na ulichoandika. Kwanza ulianza kwa vitisho mara subirini mara anzeni muone. Kweli kabisa mtu mwenye akili timamu anaweza akaandika vitisho nyuma ya keyboard? Sio ajabu ndio maana unaamini utapata mabikra 72, wajinga kabisa nyie
 
Utawapimaje hawa wana uwezo? Magufuli hakuona Waislam wenyewe uwezo?
Kuna watu wanahusika na hilo,umewahi kusoma kitabu cha Mkapa au Nyerere? Nadhani hujawahi usingekuwa unauliza swali la kitoto kama hili
 
Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi. Njaa utweza UTU wa binadamu. Dr. Bashiru Kakurwa Ali. Wananchi tuna njaa halafu mnakuja na stori za shibe ya matumbo yenu!?. Endeleeni kujifariji Ila mtambue hakuna marefu yasiyokuwa na ncha .
 
Ona sasa ulivojaa 😂😂 ila ndo profesa inabidi ujikaze
maprofesa gani njaa,ujaona ile clip Kabudi anamwita Magufuli muheshimiwa mungu😅.
profesa wako anamuona Magufuli mungu,sasa mungu kafa kapigwa chini hana kazi tena😂
 
Lakini mimi naona waswahili waendelee na hustler za kitaa tu, mbona wanakimbiza tu,, tuwaachie ndugu zetu wasomi waongoze nchi, shida iko wapi,, tuwasaidie maana kila jamii na udhaifu wake, kuna jamii zimezoea kazi za ofisini kama TRA, bank, tanroad , etc waachwe wafanye maeneo wanayoyamudu vizuri,
Waswahili ni wazuri sana kwenye ujenzi mabarabara, maghorofa, kuendesha viwanda, Transportation, kutunga miziki, football, etc,
Kila mtu afanye eneo analolimudu bana,, huo ni ushauri tu.. 🤷🏻‍♂️😇
 
Kuna watu wanahusika na hilo,umewahi kusoma kitabu cha Mkapa au Nyerere? Nadhani hujawahi usingekuwa unauliza swali la kitoto kama hili
Wao ndio wadini wakubwa, usijaribu kuwaelezea hao.
Unajua Chanzo cha VITA na UGANDA ni DINI??
 
Maxence Melo uwasilishaji wa nyuzi za aina unaongezeka Kwa Kasi inachochoe wajinga wengi kama mleta mada kuzidi kukua kiujinga.Wapuuzi Hawa wadhibitiwe mapema kabla taifa halijawa na wajinga kiwango Cha ATCl na Bombardier za cash.Mataifa matano yanayoongeza kiuchumi hakuna mojawapo linaloendeshwa kidini sijui lini tutakifunza kuishi kama viumbwe tuliombwa na Mola wetu
 
Waisilamu siyo wazalendo huo ndiyo ukweli, pia waislamu hawajali watu wanao waongoza
MCHUNGAJI KIMARO ALISHAMALIZA,NYINYI WALA POKO NI WALAFI KAMA POKO MWENYEWE.NI WAPIGAJI WA KUBWA SANA,HAMUAMINIKI HATA KIDOGO.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijaona ukikemea watu walipoanzisha nyuzi za kuchukia waislamu kuteuliwa, ila sisi tunaoandika nyuzi kukemea nyuzi za namna hiyo unatukemea.
Kama una nia njema ulipaswa kuunga mkono uzi huu.
 
MCHUNGAJI KIMARO ALISHAMALIZA,NYINYI WALA POKO NI WALAFI KAMA POKO MWENYEWE.NI WAPIGAJI WA KUBWA SANA,HAMUAMINIKI HATA KIDOGO.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nn wengi mnapenda kazi za udereva?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…