Afu wengi ni incompetent maprofesa hata 50 wa dini yao hamna afu akipewa mkristu nafasi wanapiga keleleMsingi ya dini ya kiislamu imeundwa kuchukia dini nyingine na msingi ya dini ya kikrsto imeundwa kudharau dini nyingine.Na waathirika wakubwa wa chuki hizi za kidini mi waumini na sio viongozi
Kama ambavyo wewe una thinking ya ajabu!! Hivi hadi leo ndo huelewi. Sababu moja ya shule za kiislamu kufanya vibaya? Ni hili la NECTA. Huenda unatuzuga humu jamvini kana kwamba sisi hatuelewi ila tunajua kinachoendelea. Wewe endelea tu mkuuNakushangaa kwanini umeangalia uongozi wa NECTA pekee na kutolea mfano, inawezekana kabisa una fikra mgando hiyo ndio sababu ya shule nyingi za kiislamu kufanya vibaya kwemye mitihani ya kitaifa.
Ndio maana wakati fulani mlipiga kelele Ndalichako aondolewe, sijui mkafaidi nini baada ya pale, nyie wazee wa JF mna thinking ya ajabu sana, tena iliyopitwa na wakati kabisa.
Haiwezi kutokea sababu STK na SMZ tupo imara.Mambo ya udini wanaleta maadui wa umoja wetu na vibaraka wa wakoloninaona tunarudi kulekule awamu ya nne ya JK alivyoyumbishwa na jamaa fulani mpaka kufikia hatua ya kuitwa dhaifu..
Muda si mrefu tutaanza kusikia na matamko kutoka kila kona...
Hii nchi ipo siku itaingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kidini, chanzo cha mgogoro ni dini fulani kuamini yenyewe ndio kila kitu..
Na huo ndio ukweli, mi binafsi kwa hali ilivyo na kwa kinachoendelea sasa ni muda wa kujifunza JUDO na KARATE mapemaaaa, nilishaanza kusahau ila kwa ujinga wa hawa wenzetu acha turudi kujichua ila mechi ikianza waone ZA USO VABA.naona tunarudi kulekule awamu ya nne ya JK alivyoyumbishwa na jamaa fulani mpaka kufikia hatua ya kuitwa dhaifu..
Muda si mrefu tutaanza kusikia na matamko kutoka kila kona...
Hii nchi ipo siku itaingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kidini, chanzo cha mgogoro ni dini fulani kuamini yenyewe ndio kila kitu..
Umenena kweli tupu !!Listen, hata hiki ulichoandika hapa kwangu ni muendelezo wa fikra duni, ujinga; sioni kama taifa tunaweza vipi kupiga hatua kimaendeleo ikiwa bado tutakuwa tunatazamana kwa jicho la dini, kabila, au rangi.
Wewe umekuja hapa kuwatetea wale wa dini yako, simply umekuja kuongeza tatizo, hukumbuki wapo wasio na dini, wakina Kiranga na wenzake wao wamenyamaza kimya, hawana msemaji wao, na wala hawana hivi viherehere mlivyonavyo wengine.
We need to stop this kind of ignorance, kwasababu kutaka watu wa dini yako wawepo kwenye mamlaka hakutakusaidia chochote kama hutakuwa na mahusiano nao ya moja kwa moja, zaidi, kinachowafanya wengi wazungumzie hii issue ni kama ulevi tu, usio na tija kwao wala kwa taifa.
Huu upuuzi una extend mpaka pale anapokuwepo kiongozi fulani, halafu wale wa dini yake wanakuwa hawaoni baya lolote toka kwake, huu nao ni ujinga mwingine mkubwa zaidi, kusifia/tetea kila linalofanywa na yule wa dini yako upuuzi.
Waislamu wanafundishwa kuwachukia wakrsto na kuwaita makafir na wakrsto wanafundishwa kukaa mbali na waislamu na kuwaita wafuga majini.Kwahiyo sishangai kuona wakijibizana hapa JFAfu wengi ni incompetent maprofesa hata 50 wa dini yao hamna afu akipewa mkristu nafasi wanapiga kelele
Tuwape muda kitu chochote kinachoanza na chuki hakidumu
Hayana muda haya
Hivi unaijua Zanzibar? Na viongozi walioko? Usiimbe wimbo usioujua.Hivi naomba niulize, Zanzibar sio part ya muungano? Mbona kule ni waislam tupu na hatulalamiki? Kuna ofisi ni waislam mwanzo mwisho kwani hakuna wakristo znz?
Waislam mna inferiority complex sana yani
Hawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wakeBenjamin....
Sina hoja nilitaka usome tu.
Una akili sana mkuu.Vijana kama nyie ndio tunawahitaji TanzaniaListen, hata hiki ulichoandika hapa kwangu ni muendelezo wa fikra duni, ujinga; sioni kama taifa tunaweza vipi kupiga hatua kimaendeleo ikiwa bado tutakuwa tunatazamana kwa jicho la dini, kabila, au rangi.
Wewe umekuja hapa kuwatetea wale wa dini yako, simply umekuja kuongeza tatizo, hukumbuki wapo wasio na dini, wakina Kiranga na wenzake wao wamenyamaza kimya, hawana msemaji wao, na wala hawana hivi viherehere mlivyonavyo wengine.
We need to stop this kind of ignorance, kwasababu kutaka watu wa dini yako wawepo kwenye mamlaka hakutakusaidia chochote kama hutakuwa na mahusiano nao ya moja kwa moja, zaidi, kinachowafanya wengi wazungumzie hii issue ni kama ulevi tu, usio na tija kwao wala kwa taifa.
Huu upuuzi una extend mpaka pale anapokuwepo kiongozi fulani, halafu wale wa dini yake wanakuwa hawaoni baya lolote toka kwake, huu nao ni ujinga mwingine mkubwa zaidi, kusifia/tetea kila linalofanywa na yule wa dini yako upuuzi.
Zanzibar ni TANZANIA na tuko nao sana, huu muungano huwezi kuuvunja kwa sasa, kwa maana tushakuwa wamoja na muingiliano ni mkubwa zaidi. Huwezi kufanya makosa kama ya KOREA KUSINI na KASKAZINIHivi unaijua Zanzibar? Na viongozi walioko? Usiimbe wimbo usioujua.
Mbona your playing victim??Wakristo hamna akili, mmejaa sana chuki.
Ninakuuliza tena hiko kipande cha mkate ambacho waarabu huwapa hao ombaomba kila ijumaa huwa kinamsaidia nn huyo maskini?Ulivyo chizi uoni msikitini kila swala watu wanakuja wanaamini hapo watapata msaada
Haya twambie wewe shule ya mamilioni itamsaidia nini huyu fukara ambaye hata uhakika wa chakula cha kutwa moja hana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huwezi kubishana na mzee said,toka anazaliwa alifundishwa kuwachukia watu wa imani nyingine.Mtu kama huyu akiwa kiongozi ni hatari tupu maana atapendelea upande mmojaHawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wake
Mimi ni Mtanganyika na wala huko Zanzibar sina ndugu, BABA YANGU NI MHAYA na MAMA YANGU ni MMAKONDE. kwa sasa ninaishi DODOMA huko Zanzibar nimefika kutokana na kazi tu.Mbona your olaying victim??
Nyie kule zenji mkiristo hata ubalozi wa nyumba kumi hamumpi, ikifika kipindi cha ramadhani ndo kabisa mnalazimisha awe kama nyie
Mama mwenye ndizi mnamgomea eti ndizi feki vitu vingapi hapa duniani ni feki eti
Bidhaa kuja zenji vinalipwa kodi ila kuja huku tunawakaushia
Bado visanga vinavyotokea majumbani kwenu hatujaviweka hapa,
Why mnakua too blind ??
Mie sio mdini but i thnk you guys are full of themself
tuache udini tusonge mbele
mshapewa nafasi sie tunakaa palee tunawazoom tuone kama mtafika mbali kwa style hiii, you can't steal everything from us.
Bila shaka kilichokuwa kinawaweka hapo ni uwezo wao na elimu zao zinachangia.VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO
2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO
3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO
4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO
5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO
6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO
7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO
8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO
9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO
10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO
11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO
12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
hatukatai tuone kama kuteuliwa kwake kutawafaulisha hao wanafunzi wenuHawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wake
Hii comment imedhihirisha ni kweli hamna akili. Judo na karate kwenye civil war inasaidia nn? Vita ya Sasa ni technology, huyo mtu wa kusubiri umpige judo na karate unakutana nae wapi?Na huo ndio ukweli, mi binafsi kwa hali ilivyo na kwa kinachoendelea sasa ni muda wa kujifunza JUDO na KARATE mapemaaaa, nilishaanza kusahau ila kwa ujinga wa hawa wenzetu acha turudi kujichua ila mechi ikianza waone ZA USO VABA.