Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Msingi ya dini ya kiislamu imeundwa kuchukia dini nyingine na msingi ya dini ya kikrsto imeundwa kudharau dini nyingine.Na waathirika wakubwa wa chuki hizi za kidini mi waumini na sio viongozi
Afu wengi ni incompetent maprofesa hata 50 wa dini yao hamna afu akipewa mkristu nafasi wanapiga kelele

Tuwape muda kitu chochote kinachoanza na chuki hakidumu

Hayana muda haya
 
Kama ambavyo wewe una thinking ya ajabu!! Hivi hadi leo ndo huelewi. Sababu moja ya shule za kiislamu kufanya vibaya? Ni hili la NECTA. Huenda unatuzuga humu jamvini kana kwamba sisi hatuelewi ila tunajua kinachoendelea. Wewe endelea tu mkuu
 
Haiwezi kutokea sababu STK na SMZ tupo imara.Mambo ya udini wanaleta maadui wa umoja wetu na vibaraka wa wakoloni
 
Na huo ndio ukweli, mi binafsi kwa hali ilivyo na kwa kinachoendelea sasa ni muda wa kujifunza JUDO na KARATE mapemaaaa, nilishaanza kusahau ila kwa ujinga wa hawa wenzetu acha turudi kujichua ila mechi ikianza waone ZA USO VABA.
 
Umenena kweli tupu !!
 
Afu wengi ni incompetent maprofesa hata 50 wa dini yao hamna afu akipewa mkristu nafasi wanapiga kelele

Tuwape muda kitu chochote kinachoanza na chuki hakidumu

Hayana muda haya
Waislamu wanafundishwa kuwachukia wakrsto na kuwaita makafir na wakrsto wanafundishwa kukaa mbali na waislamu na kuwaita wafuga majini.Kwahiyo sishangai kuona wakijibizana hapa JF
 
Hivi naomba niulize, Zanzibar sio part ya muungano? Mbona kule ni waislam tupu na hatulalamiki? Kuna ofisi ni waislam mwanzo mwisho kwani hakuna wakristo znz?

Waislam mna inferiority complex sana yani
Hivi unaijua Zanzibar? Na viongozi walioko? Usiimbe wimbo usioujua.
 
Benjamin....
Sina hoja nilitaka usome tu.
Hawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wake
 
Una akili sana mkuu.Vijana kama nyie ndio tunawahitaji Tanzania
 
Hivi unaijua Zanzibar? Na viongozi walioko? Usiimbe wimbo usioujua.
Zanzibar ni TANZANIA na tuko nao sana, huu muungano huwezi kuuvunja kwa sasa, kwa maana tushakuwa wamoja na muingiliano ni mkubwa zaidi. Huwezi kufanya makosa kama ya KOREA KUSINI na KASKAZINI
 
Wakristo hamna akili, mmejaa sana chuki.
Mbona your playing victim??

Nyie kule zenji mkiristo hata ubalozi wa nyumba kumi hamumpi, ikifika kipindi cha ramadhani ndo kabisa mnalazimisha awe kama nyie

Mama mwenye ndizi mnamgomea eti ndizi feki vitu vingapi hapa duniani ni feki eti

Bidhaa kuja zenji vinalipwa kodi ila kuja huku tunawakaushia
Bado visanga vinavyotokea majumbani kwenu hatujaviweka hapa,

Why mnakua too blind ??

Mie sio mdini but i thnk you guys are full of themself

tuache udini tusonge mbele

mshapewa nafasi sie tunakaa palee tunawazoom tuone kama mtafika mbali kwa style hiii, you can't steal everything from us.
 
Ninakuuliza tena hiko kipande cha mkate ambacho waarabu huwapa hao ombaomba kila ijumaa huwa kinamsaidia nn huyo maskini?

Nyie watu ni wajinga wa akili hadi mwili na ndio maana huwa mnaletewa msaada wa tende na nyama ya ngamia.
 
Hawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wake
Huwezi kubishana na mzee said,toka anazaliwa alifundishwa kuwachukia watu wa imani nyingine.Mtu kama huyu akiwa kiongozi ni hatari tupu maana atapendelea upande mmoja
 
Kuna vijana ni wavivu WA kuchanganua mambo aisee ni wabaguzi hatar.wana eneza sana propaganda kwa watu kuwa rais mdini

HAWA watu sio WA kuwapuuza wanatumika kueneza propaganda hizi kwa nguvu kubwa sana

Kwasababu katika hizo teuzi bado wakiristo ni zaidi ya 90% lakini why bado wanalalamika???

Kuna kitu nyuma ya pazia
 
Mimi ni Mtanganyika na wala huko Zanzibar sina ndugu, BABA YANGU NI MHAYA na MAMA YANGU ni MMAKONDE. kwa sasa ninaishi DODOMA huko Zanzibar nimefika kutokana na kazi tu.
 
Bila shaka kilichokuwa kinawaweka hapo ni uwezo wao na elimu zao zinachangia.
 
Hawezi kusema kitu NECTA ilikuwa ni kigango sasa kimeguswa na ushahidi ni huo kuwa tangu uhuru. Ndo maana mchwa wote wanajitokeza sasa. Uzuri hakuna anayetoa hoja ya kuhoji weledi wa mteuliwa. Ni Dr tena sio wa mchango. Waulize wanafunzi wake
hatukatai tuone kama kuteuliwa kwake kutawafaulisha hao wanafunzi wenu

Mkishindwa kuinstill good education usitarajie kuteuliwa kwake kutabadilisha kitu
 
Na huo ndio ukweli, mi binafsi kwa hali ilivyo na kwa kinachoendelea sasa ni muda wa kujifunza JUDO na KARATE mapemaaaa, nilishaanza kusahau ila kwa ujinga wa hawa wenzetu acha turudi kujichua ila mechi ikianza waone ZA USO VABA.
Hii comment imedhihirisha ni kweli hamna akili. Judo na karate kwenye civil war inasaidia nn? Vita ya Sasa ni technology, huyo mtu wa kusubiri umpige judo na karate unakutana nae wapi?

Wewe ni mpumbavu wa mwisho kabisa, dini imekulemaza akili kabisa ndio maanaa unaamini ukifa unaenda kupata mabikra 72
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…