Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Wakristo ni wadini sana, na kila inchi wanayoona wanaenda kushindwa basi huanzishwa fujo, yaani wako radhi inchi isitawalike kwa kuwa tu wao sio viongozi,

tena hili la kuwa mama wa kiislamu ndio amekuwa rais wa kwanza mwanamke tanzania kwa kweli wameumia sana

Nadhani hawapo sahihi
 
Wakristo ni wadini sana, na kila inchi wanayoona wanaenda kushindwa basi huanzishwa fujo, yaani wako radhi inchi isitawalike kwa kuwa tu wao sio viongozi,

tena hili la kuwa mama wa kiislamu ndio amekuwa rais wa kwanza mwanamke tanzania kwa kweli wameumia sana

Nadhani hawapo sahihi
Udini wao uko wapi ?
 
Vatican ni nchi Siyo Dini ndio sababu Nimesema Someni historia!
Watangulizi wake Mwinyi na Kikwete walipaswa kumueleza vyema juu ya Kanisa Katoliki la Roma,Mwinyi alimpokea Papa mwaka 1990 na Kikwete alimfuata Papa kule Vatican ila Mama yeye anashinda Oman na Saudi Arabia! Jenerali Ulimwengu aliwahi kuuliza,hivi huyu Mama anaijua vizuri hii nchi!? Nilimdharau Jenerali Ulimwengu ila leo ndio naanza kutambua ukubwa wa swali lake.
 
Tanzania ndio iliyotoa Mwafrika wa kwanza kuwa Kardinali nae ni Kardinali Rugambwa,aliiwakilisha Afrika hadi pale Nigeria ilipotoa Kardinali wa pili Mwafrika,mpaka hapo jibu mnalo kuhusu uhusiano wa Vatican na Tanzania bila kusahau MIVA.
 
Na unamzungumzia Mwenyekheri Julius Nyerere
Kwa namna Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alivyohudumu na kupita kwenye misuko suko akiwa pamoja na Kanisa Katoliki la Roma bila shaka Kanisa linalo sababu kumpa cheo cha "Mwenyeheri wa Kanisa".
 
Sijui Hayati Rais Magufuli alilala wapi alipotembelea Morogoro kufungua soko la kingalu,ila Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipotembelea Morogoro na Mkoa wowote alilala Uaskofuni wa Kanisa Katoliki la Roma.
 
Akienda Rome ujue kaitwa sio hiari
Waraka waraka huu tusubiri
Aende tumtakie safari njema atarudi na habari njema then tutarejea panapo

Roman Catholic ni zaidi ya tunavyoiona
 
Wahenga walisema,Mdharau mwiba umchoma,ilianza mzaa mzaa akakaa kimya,marehemu akatukanwa nchi nzima akakaa kimya,Pengine ilikuwa turufu yake Mwenyekiti,licha ya kwamba yapaswa kuheshimu "privacy" ya familia iliyopatwa na msiba,na pia kutetea heshima ya nchi kwa Marehemu aliyewahi kuwa Kiongozi wa nchi,

Mambo yakahania kwenye dini,akakataa kusalimia Wakristo kwa salamu ya Bwana Yesu asifiwe,au tumsifi Yesu kristo,mtangulizi wake haikuwa shida kwake alisalimia Assalamualaikum,Bwana Yesu asifiwe,Tumsifu Yesu Kristy,akaongezea na salamu za kabila zaidi ya ishirini alianza na amsindile,Subhai takwenya,na makabila mengine thelathini,

Athari yake tumeanza kuiona sasa udini umeingia,mkataba mbovu wa bandari unatetewa na Waislamu na kupingwa na Wakristu,hii ni "nightmare" ambayo hatutaki itokee katika maisha ya Watanzania,lakini yupo aliyekaa kimya matokeo yake bomu linalipuka,

Nini kifanyike,aingie kanisani na kusali nao hao aliokataa kuwasalimia Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kristo,aingie msikiti asali nao hao na kuwasalimia assalamualaikum,halafu aende bungeni akasalimie Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siyo TEC imeleta udini kwa kubaniwa njia zao za wizi.


Na bado pesa zinazotoka serikalini, zitafinywa tu hivi karibuni.
 
Wakuu inasemekana safari unapangwa kwenda Vatican kukutana na Baba mtakatifu Pope Francis


Je kwanini ziara hii inapangwa wakati huu?


Je ziara inalenga kuwaonyesha wawakilishi wa kiroho wa pope Tanzania si kitu?
Vatican isimpokee huyo Bi. Tozo
 
Soma historia kijana hili ni taifa la Vatican hata Bakwata na FaizaFoxy wanaelewa vizuri sana!

Wewe Unamchokoza FaizaFoxy
nina Hakika 100% Humuwezi,
Kwanza mimi ninampenda,Nahitaji Kaka yangu Pascal Mayalla Apate hiki chombo Basi tuu sasa hivi FaizaFoxy yuko bussy!
Ila anajua mimi na Yeye tunaheshimiana mnoo na Tunaheshimu mawazo yetu![emoji1666]
 
Kiujumla ninakubaliana na maudhui ya mada yako; lakini sikubali hilo la kujihusisha kwa njia yoyote na hizo dini zote.

Serikali iachane kabisa na huko kujikomba kwa hizo dini, ifanye mambo yake ya kuwatumikia waTanzania wote.

Hizo salamu haziwaongezei chochote waTanzania katika maisha yao.

Kuhusu Samia, amelikoroga sana hili la udini, na halitamwacha salama hata kidogo.
La udini Rais wetu amelikorogaje,,wapi, kivipi
 
Akienda Rome ujue kaitwa sio hiari
Waraka waraka huu tusubiri
Aende tumtakie safari njema atarudi na habari njema then tutarejea panapo

Roman Catholic ni zaidi ya tunavyoiona
Hapana...wasimruhusu kukanyaga Vatican
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Back
Top Bottom