Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Nchi Marais wanaotokea Dini ile wanakuwaga wa kipumbavu sana, ni ngumu mno kuona accomplishments zao!
 
Najua roho inawauma sana, lakini nani awezaye kuzuia amri Mungu?
Ni mapenzi ya Mungu
Nyie endeleeni kusubiri anguko, kinakuja hakika
 
Ukweli nchi hii ya ajabu sana, tunaangalia uteuzi wa kidini badala ya weledi na sifa za mtu katika nafasi anayopewa.
Tabia hii ya kuteua ni mbaya sana kwa kuwa ukichagua kidini hata wasiofaa wanaweza kuteuliwa mradi kujaza nafasi za dini yao.
Naomba tena kwamba nafasi za vyeo sigombaniwe, yaani achaguliwe kwa vigezo; aombe na apambanishwe na wengine, huko kutasaidia kupata watu wanaofaa kutuongoza na kusimamia miradii na wilaya au mikoa. Wakati wa Mkapa kulikuwa watu wanapotaka kumpata Mkurugenzi wa wilaya alikuwa anaomba na kupambanishwe na wengine.
Viongozi aacheni hii tabia hii
 
nipeni majibu baraza la Rais Mwinyi zanziber lina wakristo wangapi? kwani taifa hilo ni la Waislamu pekee?
 
VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO

2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO

3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO

4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO

5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO

6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO

7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO

8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO

9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO

10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO

11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO

12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
Swaumu imekuondolea akili kabisa.
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Ebu tupe population no waislamu walikua wangap na wakristu walikua wangap??

amaana nacho jua hii nchi wakristu ndo walikua wengi
 
Aiseee!

Mkuu, unahasira sana, japo kuwa uliyotolea mfano yote ni kweli na inapaswa iwe hivyo

Nchi yetu tunapaswa kuhama kabisa hapa tulipo kwenye kushabikia udini badala ya kuangalia watu watakaolivusha Taifa letu

Mimi sioni shida serikali ikipanga watu wazuri kichwani hata kama wengi wao ni dini moja, kwa sababu hawaendi kuendesha ibada huko kwenye maofsi yao bali kusaidia nchi yetu kupiga hatua, sioni shida kabisa
Haina shida yoyote..wawe Waislam watupu tena washia, wasuni, sarafi, ahmadia, eti fine madam kazi nikuisogeza Tanzania mbele kwa kasi-kimaemdeleo-basi! Wawe Wakristo; wakatoliki, KKKT, walokole, Saba to, n.k fine madam kule hawaendi kumtangaza Masiah!

Upumbavu huu ndomaana Viongozi wa juu wanajikuta wanakuwa influenced na kufanya maamuzi kwa pressure ya wapumbavu kama Hawa..

Stupid cattle, the Cattle of Africa who seem to have lost the big and shapeless heads!
 
Back
Top Bottom