Ijue "TANAKA", dawa ya kumfarakanisha mume na nduguze na marafiki pia

Ijue "TANAKA", dawa ya kumfarakanisha mume na nduguze na marafiki pia

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Tanaka ni dawa inayotokana na uchafu wa hedhi,kucha za miguuni,kitambaa kilichofutiwa manii baada ya kujamiana, nywele za kwapani na uvunguni, kunde maiti, maji ya maiti na kitovu cha mtoto mchanga ambapo huchanganywa pamoja na dawa nyingine za mitishamba, na maji, huchanganywa humo na kuwekwa kwa siku tatu hadi tano, huku muandaaji akiyanuizia kwamba ufarakane na nduguzo wote na marafiki na umpende yeye tu.

Baada ya siku hizo, maji hayo hutumika kukupikia chakula, yaani maji kidogo tu ya dawa yanachanganywa na maji ya kawaida.

Baada ya muda mfupi aliyewekewa dawa hii ataanza kumuone mama yake mzazi akowa mtupu akifanya urozi chumbani kwa mpewaji.

Poa anaweza kumuona mama yake akitaka kuwaua watoto na mke wake.

Baada ya hapo ni uadui mtupu
OG3️⃣Waafrika T. TIBA 20220125_070907.jpg
 
Back
Top Bottom