Ijue Vita iliyopiganwa miaka therathini (thirty years' war)

Haya mambo ya dini ndiyo maana kuna muda uwa yananipita kushoto.
DUnia imepoteza watu wengi kwa jina la Mungu/Allah kuliko watu waliowahi kuuawa na wapagani.
Vita ya msala, vita hii unayozungumzia, kuawa watu wasiyokubariana na imani hizi na mpaka leo bado watu wanauawa kwa jina la Mungu.
Huenda hata Mungu mwenyewe anatushangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…