Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo sijakubaliana moja kwa moja na post hii, Kujua majina yataka macho ya ndani maana ufunuo umefichwa na wajifunua kwa nyakati na wakati namna na jinsi muda wake unavyokaribia au kutimia kwa watu wake Mungu aliowachagua kuwafunulia. sasa watadandia watu na kutoa tafsiri kibao kupotoshana!Heri lee China, Urusi, USA, North Korea etc zinaitwaje kwenye Biblia?