Reli ya kati ilijengwa na wakoloni wajerumaniMtera, Kidatu, pangani, Nyumba ya Mungu si yalijengwa na watangulizi wake pia?
Reli ya kati si imejengwa na raisi pia? cha ajabu?
Njoo na hoja mbadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reli ya kati ilijengwa na wakoloni wajerumaniMtera, Kidatu, pangani, Nyumba ya Mungu si yalijengwa na watangulizi wake pia?
Reli ya kati si imejengwa na raisi pia? cha ajabu?
Njoo na hoja mbadala.
Ngoja awakomeshe misheni town nyie .majiziHahaha kuna majitu eti yanampenda Magufuli na ccm, majizi ya rasilimali za umma.
Nlliweza kumtongoza bibi yako nikamzalisha, akamzaa BABA yako, nikachepuka upande wa pili nikamzaa MAMA yako.Sasa babu afu huna akili ndio nn?
Baada ya kujengwa mahitajibya umeme yaliisha au bado yapo na ni bei gari?Mtera, Kidatu, pangani, Nyumba ya Mungu si yalijengwa na watangulizi wake pia?
Reli ya kati si imejengwa na raisi pia? cha ajabu?
Njoo na hoja mbadala.
Hivyo siyo reli ya kati!!!
Tangu uhuru yanaiba mpaka leo, eti nayo yanatafuta mwizi hahaha.Ngoja awakomeshe misheni town nyie .majizi
Mtakoma na bado miaka mingine mitani nyie wezi ngoja awabanr washenzi nyieTangu uhuru yanaiba mpaka leo, eti nayo yanatafuta mwizi hahaha.
Mtakoma na bado miaka mingine mitano nyie wezi ngoja awabane washenzi nyieTangu uhuru yanaiba mpaka leo, eti nayo yanatafuta mwizi hahaha.
Vilijengwa lini na leo ni lini mbona mnakuwa wagumu kuelewaMtera, Kidatu, pangani, Nyumba ya Mungu si yalijengwa na watangulizi wake pia?
Reli ya kati si imejengwa na raisi pia? cha ajabu?
Njoo na hoja mbadala.
Reli ya kati ilijengwa na rais gani mkuu?Mtera, Kidatu, pangani, Nyumba ya Mungu si yalijengwa na watangulizi wake pia?
Reli ya kati si imejengwa na raisi pia? cha ajabu?
Njoo na hoja mbadala.
Riba ya billion moja ni ndogo kuliko ya million moja, ndio maana ukitaka kufanikiwa weka malengo ya muda mrefu.
Only great and visionary leaders wanaweza wakachukua maamuzi mazito Kama haya.
Haangalii faida binafsi, anaangalia faida ya kizazi kijacho na mapinduzi yatakayotokana na uwekezaji huu. Angekuwa mtu mwingine angewekeza angetumia fedha hiyo kwenye vitu vidogo visivyo na Impact kubwa.
Kwanza kwenye mambo ya 'kawaida' kama shule, madawa, miundombinu, huduma za kijamii kafanya vizuri sana ukilinganisha na tulikotoka, lakini bado kamudu kufanya uwekezaji mkubwa kwenye miradi ya mkakati Kama SGR na Mwalimu Nyerere HEP.
Na maamuzi haya yana gharama. Kapigwa vita na 'mabeberu', kisha wanasiasa uchwara wa ndani udandia kila hoja inayopinga kuonyesha kafanya vibaya. Lakini porojo na uhalisia ni kama maji na mafuta havitengamani!
Muulize Professor Muhongo alichotufanziaHizo blah blah za umeme tumeshazichoka. Hazina jipya.
Wakati ule wa kuchimba gesi ya Mtwara, CCM hii hii, na Magufuli akiwa waziri mwandamizi, mpiga mapambio ya kusifu na kuabudu, tuliambiwa tungepata umeme wa bei ya bure na gesi ingekuwa bwerere kiasi ambacho matumizi ya kuni na mkaa yangebakiwa kuwa historia.
Kiko wapi sasa?
Haya mambo ndo yanapigwa vita na maadui wa nje na wa ndani wa nchi yetu,hawatamani kabisa kuona taifa letu linapiga hatua za maendeleo.
walikua wanalalamikia ufisadi na utoroshwaji wa madini pamoja na mikataba mibovu,baada ya JPM kupambana vilivyo upande huo sasa wameamia kudhihaki na kubeza miradi mikubwa ya nchi yetu.
Viva JPM.
Kuanzisha/kukamilisha miradi ni vitu vya muhimu kwa kiongozi. Ila sio ticket ya kutokupingwa. Ukuu wa nchi una mambo mengi mno mno. Kama umetoa maoni ili kumkampenia Magu ntakuelewa ila kama umetoa huku ukiwa NEUTRAL basi huko 'upstairs' kwako hakuko vizuri jitathminiHalafu unakuta jitu linampinga Magufuli! Hawa wezi na misheni town
Muulize Professor Muhongo alichotufanzia
Kahonga mabeberu vitaro na visima vyetu eti ndio private partnership.Katuacha peupe,sijui PHD ni kuuwa maliasili haraka au firisi nchi kwa speed ya 5G, Harafu CCM eti wamempitisha agombee ubunge its a joke. Alitakiwa awe Ukonga akitumikia kifungo cha maisha.Lakini China angeishanyongwa mbwa huyo.
You must be crazy upstairs or you are blind! Watu Sio wakamilifu lakini sintakuelewa ukiniambia huoni aichofanyaMagu! He might have some weekness but haimpunguzii kuona vitu alivyofanya! Mijitu mlishazoea shida na inferiority complex sasa amekuja mtu anayejitambua na anataka nanyie mnyenyuke hamtaki.hata Kenya sasa wanafyata mikia halafu mnataka kuturudisha kwenye ujinga wa zamaniKuanzisha/kukamilisha miradi ni vitu vya muhimu kwa kiongozi. Ila sio ticket ya kutokupingwa. Ukuu wa nchi una mambo mengi mno mno. Kama umetoa maoni ili kumkampenia Magu ntakuelewa ila kama umetoa huku ukiwa NEUTRAL basi huko 'upstairs' kwako hakuko vizuri jitathmini