You must be crazy upstairs or you are blind! Watu Sio wakamilifu lakini sintakuelewa ukiniambia huoni aichofanyaMagu! He might have some weekness but haimpunguzii kuona vitu alivyofanya! Mijitu mlishazoea shida na inferiority complex sasa amekuja mtu anayejitambua na anataka nanyie mnyenyuke hamtaki.hata Kenya sasa wanafyata mikia halafu mnataka kuturudisha kwenye ujinga wa zamani