Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Kwanza leo asubuhi naona kama maaskari wengi wapo barabarani mpaka kwenye magari ya mwendokasi.
Nimefika job kazi haziendi kabisa, nawaza tu hapa juu ya Tundu Lisu..
Honestly kazi haziendi kabisa leo, hapa naongea nusu nipitishe famba hapa kwa mawazo.
Hakika hii ijumaa imejaa majonzi makubwa.
Maisha haya magumu halafu mtu kama Tundu Lisu akituondoka tutakuwa wakiwa sana, nani atapaza tena sauti za wanyonge?
Eeeh Mungu wa mababu, Mungu muumba wa Nchi, Mungu wa Adam na Hawa, Mungu mwenye uwezo wa kila kitu.. Eeeh Mola,, eeeh Yehova.. Tunakuomba usiuzime mshumaa huu uangaziao wanyonge watanzania na wapenda mabadiliko..
[HASHTAG]#Hakutakuwa[/HASHTAG] na siku ijumaa ngumu kama ya leo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefika job kazi haziendi kabisa, nawaza tu hapa juu ya Tundu Lisu..
Honestly kazi haziendi kabisa leo, hapa naongea nusu nipitishe famba hapa kwa mawazo.
Hakika hii ijumaa imejaa majonzi makubwa.
Maisha haya magumu halafu mtu kama Tundu Lisu akituondoka tutakuwa wakiwa sana, nani atapaza tena sauti za wanyonge?
Eeeh Mungu wa mababu, Mungu muumba wa Nchi, Mungu wa Adam na Hawa, Mungu mwenye uwezo wa kila kitu.. Eeeh Mola,, eeeh Yehova.. Tunakuomba usiuzime mshumaa huu uangaziao wanyonge watanzania na wapenda mabadiliko..
[HASHTAG]#Hakutakuwa[/HASHTAG] na siku ijumaa ngumu kama ya leo...
Sent using Jamii Forums mobile app