Iker Casillas atangaza kuwa shoga

Noma sana!
 
Maake hapo kwanza ncheke[emoji38]
 
Nimewahi kumuona hayati Magufuli akionekana kuongea jambo katika pg yake miezi kadhaa baada ya kufariki..........dunia ilipofikia ni vigumu kuamini moja kwa moja kuwa ni kweli hiyo pg ni yake huyu casillas tunayemjua au wahuni wameshafanya yao.
 

Aamina [emoji2972]
 
Legend wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Spain, golikipa Iker Casillas kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ametangaza kuwa yeye ni shoga.
Source; Fabrizio Romano page fbView attachment 2381687
Si amekanusha tena kwamba waongo walikua wakisema yeye ni malaya kwa hyo alitweet hivo hili kufunga midomo ya wambea.....Lkn shoga ni shoga tu bana
 
so akijamba tu sa ivi ni mwendo wa uharo

noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…