Ikianza kodi ya vitambi kwa jinsia zote vitaadimika

Ikianza kodi ya vitambi kwa jinsia zote vitaadimika

Ikianza kodi ya vitambi kwa jinsi a zote. Vitambi vitakuwa adimu sana. Yaani wizara ya afya ishirikiane na TRA, mwenye uzito uliozidi BMI apigwe fine, gym zitajaa na watu wataacha kula kula bila mpango.

Baba yeyoo anapiga ugali, nyama choma, kachumbari na 🍺🍺 mbili kila siku kabla ya kulala. Utaacha kusimamisha ki mini fridge-freezer 😂
Kabisa TRA waintroduce kodi ya VITAMBI.
 
Back
Top Bottom