Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijiji husika hakina mahusiani na hujuma.Kama kichwa cha habari Naiomba serikali na wizara husika ikibainika miundombinu imehukumiwa basi Uongozi wakijiji ukamatwe na kijiji husika kifutwe hii itasaidia hujuma hili ni pendekezo langu.
Kuna kipindi nyani na bundi pia walihusishwa kwenye sakata kama hili...😂Mbona hujawahi kumuambia Rais wako mawaziri wake wakifanya ufisadi ajiuzulu?
Watu wa vijijini ndio mmeona pakupatia pointi 3 sio?
Wahujumu wanatoka mijini huko vijijini ni maficho yao tuKama kichwa cha habari Naiomba serikali na wizara husika ikibainika miundombinu imehukumiwa basi Uongozi wakijiji ukamatwe na kijiji husika kifutwe hii itasaidia hujuma hili ni pendekezo langu.
Wazembe sana hawa jamaa.Kuna kipindi nyani na bundi pia walihusishwa kwenye sakata kama hili...í ½í¸
Nikweli lengo kijiji kihuske katika ulinzi wa miundo mbinu! Ni kweli kuwa mwanakijiji hawezi kwenda kukata waya tena Armored cable inayopitisha umeme wenye msongo wa KVa 110 inamaana ni wataalamu wa hiyo idara na nahisi wenye mabasi wanaweza kuhusika na hujuma hii! Japo ni mambo ya kufikirika tu!Kijiji husika hakina mahusiani na hujuma.
Hujuma inatokea ndani ya shirika, tena inatekelezwa na wataalam wa shirika labda kwa ufadhili/ushawishi wa wafanya biashara