Hakuna tofauti kati ya Ruto na MboweWakati Gen Z wanasisitiza kuanguka na Ruto. Ingefaa jeshi lishike hatamu kurejesha Hali ya utulivu na Amani. Baada ya miaka miwili. Ndio urejeshwe utawala wa Kiraia.
RIP (Late) General Francis Omondi Ogolla
Huo mzimu kwani haupewi msosi huko ama kulikoni?Mzimu wa General (Late) unamtafuna Zakayo
Kuna watu wapumbavu sana humu Duniani. Mbowe ni Rais wa Nchi Gani vile. Upumbavu ni mzigo sanaHakuna tofauti kati ya Ruto na Mbowe
USSR
wamtoe tu anasa zimemponza. watu wananjaa wewe unakodi JETI mpaka USA? Kenya siyo TZWakati Gen Z wanasisitiza kuanguka na Ruto. Ingefaa jeshi lishike hatamu kurejesha Hali ya utulivu na Amani. Baada ya miaka miwili. Ndio urejeshwe utawala wa Kiraia.
RIP (Late) General Francis Omondi Ogolla