Ikibidi Vyama vya upinzani tuungane hata na Genge S kupinga mkataba huu hatari kwa taifa letu

Ikibidi Vyama vya upinzani tuungane hata na Genge S kupinga mkataba huu hatari kwa taifa letu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Vipengele vilivyopo kwenye mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya Dubai Ports (DP) ni vipengele visivyoonesha ukomo wa maslahi na mipaka ya kisheria kwa DP.

Mkataba huu kama utasainiwa utaifunga Tanzania na miaka mingi na kutufanya kupoteza udhibiti wa bidhaa zinazotoka ama kuingia nchini. Hili ni jambo baya mno kwa usalama wa nchi yetu.

Watanzania tuungane bila kujali itikadi zetu tuupinge mkataba huu dhalimu kabisa kwa nchi yetu.
 
Muungane na nani nyie ufipa, mnataka muingie kwenye ofs walizo jenga wenzenu 🚮
 
Nasubiri ukichaa wa viongozi walioko bungeni, watakao pitisha mkataba huo, baada ya samia kutoka madarakani wakatikalia kiti cha urais halafu wakaanza kuuona mkataba huo mbovu na kuanza kupiga kelele kuuvunja wakati waliupitisha wakiwa na akili timamu.

Hili likitokea ndo mjuwe ni kiasi gani tulivyo na viongozi wabovu.

Mkataba huo utatafuna hadi wajukuu wa kizazi kijacho.

Option ya huu mkataba huko mbele ni kutumia mabavu!

Nini maana ya kutumia mabavu wakati wewe ni tegemezi? Ubavu huo unao? Kuna siku damu zitamwagika.

Ahaaaaaa mama bana sasa ndo kufungua nchi? Umewapa funguo wewe huna hata spare? Na fundi maiko hataweza kuchonga ufunguo wa ziada maana hatuna original anyway.
 
Genge S tutapambana wenyewe tutaendelea kumuomba Muumba aendelee kuamua kila aina ya Ugomvi .
 
Vipengele vilivyopo kwenye mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya Dubai Ports (DP) ni vipengele visivyoonesha ukomo wa maslahi na mipaka ya kisheria kwa DP...
upinzan hauwez kuungana na wapumbavu wa sukuma gang labda shibuda na wale nccr ya selasin na tlp ndio waungane.
 
Muungane na nani nyie ufipa, mnataka muingie kwenye ofs walizo jenga wenzenu 🚮
mashoga ya ccm kama wabunge wenu endeleeni kushangilia yanga kwa kuvalishwa mikanda shingon maana akili hamna.
 
Back
Top Bottom