Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Haitatokea Kwa Lissu The Great.
The Guy Is Voraciously Rigid ( Ana Msimamo Mkali) Toka Kitambo Sana
Pia Amefichua Maovu Ming Ming Ambayo Kama Angekuwa Planted
Angechomoa Msimamo Wake Kilaini.
Bhado Atapambana Kindakindaki.
Muulize Jacob Zuma Anauelewa
Umaridadi Na Mziki Wa Lissu.
Wana Lumumba Lazima Waucheze.
Weka akiba ya maneno ndugu, unaweza kuja yakataa haya uliyoyaandika hapa.kama una muda tafuta thread ya mtu aliileta hapa kipindi lowasa akiwa ccm kua hivi itakuwaje siku Lowasa akiamua kuhamia chadema je watampokea ama?

Hahaha sitaki kukumbuka majibu maana watu walitokwa povu hao wengine walifika mbali hadi kuapa, leo hii wengi wao walishabadilisha hadi id.hizi ni siasa na zinafanywa na binadamu sio malaika hivyo tujifunze kuwaza nje ya box.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka akiba ya maneno ndugu, unaweza kuja yakataa haya uliyoyaandika hapa.kama una muda tafuta thread ya mtu aliileta hapa kipindi lowasa akiwa ccm kua hivi itakuwaje siku Lowasa akiamua kuhamia chadema je watampokea ama?

Hahaha sitaki kukumbuka majibu maana watu walitokwa povu hao wengine walifika mbali hadi kuapa, leo hii wengi wao walishabadilisha hadi id.hizi ni siasa na zinafanywa na binadamu sio malaika hivyo tujifunze kuwaza nje ya box.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure
 
Haitatokea Kwa Lissu The Great.
The Guy Is Voraciously Rigid ( Ana Msimamo Mkali) Toka Kitambo Sana
Pia Amefichua Maovu Ming Ming Ambayo Kama Angekuwa Planted
Angechomoa Msimamo Wake Kilaini.
Bhado Atapambana Kindakindaki.
Muulize Jacob Zuma Anauelewa
Umaridadi Na Mziki Wa Lissu.
Wana Lumumba Lazima Waucheze.
Itatokea kwa nani
 
Ukwel mchungu

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Propaganda ya miaka ya 18--- 19-- you will only catch fools! Hata panya wa kizazi hiki hawashikwi na mitego ya 19--.
 
Uko sahihi sana namkumbuka Slaa, Lipumba, kwenye uchaguzi na Polepole kwenye mchakato wa katiba mmmh sasa tunaye sasa tunaye Nape aliye tunyima bunge live!! Naanza kuamini ule usemi wa mtaani kuwa shetani akizeeka hujifanya malaika.
 
Mtoa mada nakubaliana na wewe ila hapo kwenye u role modal umenichekesha kweli, wewe unataka ma role modal wetu wawe wakina mengi, barkhessa, mo dewj, manji n.k mbona unataka kuturudisha nyuma hivyo!!!?!! Hivi unajua utajiri wao umetokana na nini, na ni kipindi gani?? Unafikiri wao wakati wanaanza kutafuta kilikuwa kipindi kama hiki tulichonacho!!??? Je, technolojia ilikuwa kama hii tulio nayo!!?? Tafakari sana hakuna cha u role modal kila mtu apambane na hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haitatokea Kwa Lissu The Great.
The Guy Is Voraciously Rigid ( Ana Msimamo Mkali) Toka Kitambo Sana
Pia Amefichua Maovu Ming Ming Ambayo Kama Angekuwa Planted
Angechomoa Msimamo Wake Kilaini.
Bhado Atapambana Kindakindaki.
Muulize Jacob Zuma Anauelewa
Umaridadi Na Mziki Wa Lissu.
Wana Lumumba Lazima Waucheze.
Katika ulimwengu wa covert operations, anything is possible.Wakumbuke Dr.Slaa, Mkumbo,Mgwira,Zitto,Lipumba,
Mrema,Mbowe,Rungwe etc.,who exactly are they.

By the way, Slaa anaishi Canada kwa cost ya nani,analipa mwenyewe au analipiwa?Kama analipa mwenyewe pesa anapata wapi?Na kama analipiwa analipa nani? Is he in another assignment in Canada? I am just thinking aloud.
 
Back
Top Bottom