Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

'Acha kulalamika, umechelewa, muda haukungoji, majadiliano ya siasa huleta uchomvu wa akili na upofu wa fursa
 
Sijakuelewa. Umechanganya madesa Kamanda. Soma andiko langu vizuri.
 


Hajawahi kuniangusha huyu, namtabiria ndio next president 2020 labda mbowe akengeuke amrudishe lowassa wake
 
Kuna baadhi ya watu katika jamii ambao wana ushawishi mkubwa ni lazima wawe na nyuzi ambazo zimeunganishwa na mahala fulani.

Zile nyuzi kuna watu katikati wanazidhibiti katika kuyumba kwake.

Sitashangaa nikisikia TL kila akiongea majukwaani na kutoa kashfa na kejeli halafu baadae usiku hupiga simu na kuomba msamaha na maigizo kuendelea.

Au kama sasa hivi unaambiwa STOP maigizo kuna ziara maalum na zinahitaji enough air time na public attention kuliko huu upuuzi na kila kitu kinawekwa kapuni.

Nyerere RIP aliitengeneza vizuri sana hii nchi kwa ile dawa la lugha la Kiswahili.
 
una hoja fikirishi
 
Endelea kuwaza kwa sauti ila huu ulioandika ni uchochezi
 
waache wapoteze muda bro. hapa hawatakuelewa kamwe hii ndio nchi pekee duniani watu wanashabikia.siasa kwa zaidi ya miaka5mfululizo.
 
Mi naishi Dar es salaam kijana.
Mkuu hata ungekiwa Dom au Iringa usijali sana kimsingi ulichoandika kina ukakasi ndani yake atakaye bishana abishe asikubaloane lakini ukweli ndio huo kupitia mawazo yako!
 
Fikra,fikra,fikra hata wewe umejenga fikra bombs la mafuta toka Hoima mpaka Tanga vijana wamekalia upatanishi wa MAKONDA NA RUGE.

Serikali inatambua hilo, inajua vijana wake iwaandalie fursa zipi? Au ni vijana wenyewe wafikirie?
Mimi naamini Watanzania Leo wote tunafikiria raid wetu anafikiri nn juu yetu, wasaidizi wake wa naamini hivyo na hata yy mwenyewe a naamini hivyo.

Hivi kuna mtaalam yoyote muajiriwa wa serikali aliyeko kijijini au mijini anafanya kazi zake alizoajiriwa Nazo kwa ajiri ya kumuendeleza Mtanzania?

Kuna fursa ngapi? Zilizoko nje ya nchi zenye uhitaji wa Watanzania kwa msukumo wa viongozi walioko ndani na nje kuzisimamia na kuwepo mtiririko chanya wa watu kwenda huko kwa faida yanchi. Lkn viongozi wamefunga vioo na kula kiyoyozi mwisho kijana anaonekana kipofu.

Lowassa ,Sumaye hawa ni wapambanaji wanaopaswa kuheshimiwa kwa maamuzi yao magumu walioamua kwa ajili yao na Watanzania kwa ujumla. Maamuzi yao ndio yaliyofanya chama tawala kijitahidi kurudi kwa Wananchi.Na hata kunusa harufu kuwa kumbe wanaweza kupoteza dola.

Dr slaa,Prof Lipumba hawa ndo maadui no 1ambao wewe ulipaswa uwaite hilo kina la PLANTED .
 

Unafikiri kwa uhuru mkubwa mnooooo....nikukosoe tu NCCR walotoka CCM na kuungana na Marando was team Mtandao vs Mwalimu....Wassira ...Nsanzungwako....and many walie da kumalizia hasira huko ya mapumziko na ndio wakarudi kuibeba CCM 2005....Mrema anakula good time baada Mkapa kuondoka na wengi wa aina hiyooooo......

Hutoweza kujutenga na Utawla but utatofautiana nao kimsimamo na mkakati tu but sote tunabaki Watanzania.....USAHIHI WAKO KTK MASLAHI YA NCHI IS WAT MATTERS THE MOST
 
Yaa mshikaji katoa logic ipo sana at but sie wabongo ndo tulivyo yawezekana kweli but tusiamini saaana kwenye point ya siasa ila at kwa fursa ni bonge ya logic tujiongeze na syo kushabikia mambo au watu ambao wao wana maisha yao tayari mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…