Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Sio rahisi hivo nyie ndiyo mtasanda
 
Mwanamke hasa wa kizazi hiki anakuwa na Jeuri kama bado Watu wanamfukizia inbox anajiona Queen uki plus na viela vya kununua Lotion basi anajidanganya Hana haja ya Mume.
In reality Mwanamke Anahitaji more than just sex from man.

Anahitaji security na vitu vingine vingi.

Mbaya zaidi mabinti wa zama hivi hawa Wahitimu wa vyuo vikuu nao wamekuwa wadangaji bali wauzaji kabisa tena wapo more sophisticated katika hilo wanafanya kisasa.

Lengo kubwa ni Kupata pesa kuishi maisha ya gharama ya kwenye screen at this time huyu binti atatukana matusi Yote kuhusu Ndoa na wanaume kwa sababu mwili wake muda na mazingira bado vinamsapport.

Mashavu yakishaanza kushuka na ile damu ikikata kutoka na Wale Waliokuwa wana hit inbox wakishaacha hapo ndo akili huwa inarudi.

Nilikuwa nawasikiaga kina Bibi wakisema "Tatizo sisi Wanawake mwalimu wetu ni kipofu".

Nature haiwezi kubadilika ila sisi tunaweza kuamua kwenda against it na tuwe tayari for the consequences.
 
Nipone nini? Ulinipa wewe hilo donda ndugu au gonjwa? Mbona kujifanya kunijua sana we ngumbaru? Unanishobokea sana kumbe na comment zangu unazifatiliaga asante shabiki wangu ila acha kunisoma ili usipate jakamoyo, ama bonyeza ignore, tofauti na hapo nitaendelea kukukera, sipo humu kwa ajili ya kukufurahisha wewe wala yeyote yule na ningekiuka sheria za jf ningeshalambwa ban
Jioni njema
 
Nipone nini? Ulinipa wewe hilo donda ndugu au gonjwa? Mbona kujifanya kunijua sana we ngumbaru? Unanishobokea sana kumbe na comment zangu unazifatiliaga asante shabiki wangu ila acha kunisoma ili usipate jakamoyo, ama bonyeza ignore, tofauti na hapo nitaendelea kukukera, sipo humu kwa ajili ya kukufurahisha wewe wala yeyote yule na ningekiuka sheria za jf ningeshalambwa ban
Hahah vipi kama ungemwambia tu ”sawa” just “sawa” halafu ukaacha maisha yaendelee?

Wote jengeni hoja hamna haja ya kuoneana hakuna wa muhimu kwa mwenzake,wote tunahitaji mawazo yenu/yetu.
 
Hahah vipi kama ungemwambia tu ”sawa” just “sawa” halafu ukaacha maisha yaendelee?

Wote jengeni hoja hamna haja ya kuoneana hakuna wa muhimu kwa mwenzake,wote tunahitaji mawazo yenu/yetu.
, sasa nikijibu SAWA siku nyingine si ataniwekea masharti kwingine natakiwa niandikeje niweje!!! Ye kama nani hasa kwangu mimi?
 
Denial kuhusu maisha ya mwingine, how? [emoji848] Make that make sense.

So what's so wrong or inaccurate kuhusu prediction ya maisha ya wanawake wa sasa by the year 2030?
Nothing wrong with predictions, however ni namna mojawapo ya kuwajaza “walengwa” hofu…….Kuhusu mnataka kuachieve nini ndio sina uhakika.

Mapenzi ni jambo binafsi, sio jambo la kitaifa, so why mnajali sana kuhusu watu ambao hawajali?

Mimi nadhani wanawake ndio tungekuwa wakwanza kulia lia, Tuko kimya tunapambana na hali zetu.

Jitahidini kuchill bana.
 
Natafuta ajira na Zemanda wanaongea ukweli wa jinsi hali ya kimahusiano ilivyo hivi sasa, all over the world birth rate na kasi ya watu kuoana imepungua, divorce inashangiliwa, partenity fraud kama zote, China na USA wadada wanalalamika wanaume wengi siku hizi hawataki kutongoza.

Ila upande mwingine nahisi natafuta ajira na Zemanda wako bitter coz walishawahi pigwa vitu vizito na wadada 😁 binti kiziwi
Nyakati zimebadilika, Asiyetaka kukubali hili ndiye atateseka, kigumu nini kuelewa kila siku mabandiko ya kulia lia. 😀
 
Nyakati zimebadilika, Asiyetaka kukubali hili ndiye atateseka, kigumu nini kuelewa kila siku mabandiko ya kulia lia. 😀
Nyakati zimebadilika au tumeamua kubadilika?

Bado mnajifungua kwa uchungu na mnaingia P bado mnanyonyesha.

Kilichobadilika ni kipi au Nyie ndio mmeamua kubadilika??
 
Ni kweli tatizo wanatumia pesa kama kigezo cha kumkubali mtu wanasahau kuwa maskini wa leo ndo tajiri wa kesho mtu un
aemdharau leo ukikutana nae miaka miwili baadae sio yule tena
Kiukweli na mabinti waelimike nyakatu zinabadilika. Wanaume wameanza sasa kuwa na sugu ya upweke na wanajionea sawa tu Kulala bila mke katika umri mkubwa huku mtoto au watoto wakiwa kwa mama zao au kwa bibi.

Kuna haja ya kurekebisha hili kabla majanga hayajaongezeka.
 
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Wengi wanazeeka kuliko umri wao halisia,(kongoloka), tena inaanzia kwenye migodi, sorry to say this, pisi kali ya miaka 22 mgodi wa miaka 70 duu, ashakum siyo matusi, tena kabla ya kukutana na bwawa la mindu inakutana J....puya
 
mnaongea tu humu, ndoa mnazitaka wengi

sema sio wanawake peke yao ndo hawana nidhamu ya mahusiano, hata wanaume

shida ya Zemanda ni chawa wa motivational speaker mmoja, anamfatiza kuhangaika na wanawake



Hivi Jadda unampata Kevin Samuels? Huyo kwenye avatar ya Zemanda?
Kwahiyo mzee umeamua kunikaanga sio? [emoji23][emoji23][emoji23] Unanisnitch kwa demu feminist?
 
Nani alikuomba umuoe? Hivi kabisa unajidanganya wanawake wa ss hivi tunalilia ndoa??

Hakuna kipindi wanawake wamezidharau ndoa km hiki… labda vijijini.

Wanaume wanataka kuolewa na mashangazi na wajomba zao, hao ndio wenye uhitaji.. kidogo na wale waganga njaa ambao hawana uwezo wa kujihudumia.
Wanawake wanakwepa ndoa ujanani tu sababu ya kutaka uhuru wa kudanga na kubadili wanaume kwa uhuru. Ila uzee ukianza wanakimbilia ndoani tena kwa nguvu. We unadhani hao mashangazi wa umri kuanzia 30+ wanapenda kuvuliana chupi na vibwana mdogo vya umri miaka 23?

Ni swala la kuelewa.
 
Back
Top Bottom