Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Maumivu ya nini sasa kila mtu kuna namna mungu amempangia hatuwezi kuwa sawa alafu dunia sio yetu ni ya mungu ww una uhakika gani kama hiyo 2030 utakuwa hai ebu tafuta hela achana na maisha ya watu
 
umeandika kitu cha muhimu sana, wadada wengi sasa muda umeyoyoma no ndoa, no mtoto.
nawafahamu wengi, kuna mmoja ana 37 saiz ni mwendo wa kwenda kwa mwamposa tu, atakunywa maji na mafuta hadi kuyaoga.
kibaya zaidi eti wana hii kauli " Muda wangu utafika"
Mfilisiti miaka 37 mbona bado mtu ni kijana kabisa.

Presha inatoka wapi?
 
Mwanamke anahitaji uwepo wa mwanaume kuliko mwanaume anavyomuhitaji mwanamke...,ukweli mnaujua.
Sawa endeleeni kujidanganya na kujifariji

Lakini ukweli mnaujua ni jinsia gani wanaopenda zaidi kuliwazwa na kufarijiwa na wenzao, pale wanapotoka mihangaikoni na wakiwa na stress kwa zile kauli kama, "pole na uchovu mpenzi" au "karibu chakula kipenzi" nk na jinsi wanavyohaha wakizikosa

Na mkumbuke wanawake wana uwezo wa kumultitask mwanamke ana uwezo wa kutoka kazini na bado akafanya kazi za nyumbani mwenyewe, ila mwanaume ukimuachia nyumba au watoto peke yake wote tunajua lazima atahitaji msaada wa mwanamke, haijalishi ni mke au housegirl kwahiyo endeleeni kuukwepa ukweli
 
Kwa jinsi mnavyofukuana makalio mpk kuvaa pedi hiyo 2030 nyie itakuwa hali mbaya mara mbili yake, mnayaona ya wanawake na kuyachongelea midomo yenu aaah
Hivi unajua kwanza kwamba mzigo wa iphone 16 pro max upo sokoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muda wa kuachwa na masponsa kutamba umefika.
 
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Hii ni kweli sasa nini kifanyike kupunguzq tatizo hilo au hamna namna tusubiri watu kuja kujuta?
 
umeandika kitu cha muhimu sana, wadada wengi sasa muda umeyoyoma no ndoa, no mtoto.
nawafahamu wengi, kuna mmoja ana 37 saiz ni mwendo wa kwenda kwa mwamposa tu, atakunywa maji na mafuta hadi kuyaoga.
kibaya zaidi eti wana hii kauli " Muda wangu utafika"
Kuna mambo mtu akifanya tunasema anatia jitihada na anapambana, ila kuna umri ukifika kuna vitu ukifanya unaonekana utimamu wa akili una mashaka.

Miaka 37 unatafuta ndoa ukafanye nini? Binti serious anaitafuta ndoa akiwa na miaka kuanzia 16 huko hadi 26 (the prime ten). Mtu anaanza itafuta ndoa katika wakati why Prime decline? 37 ni miaka mitatu tu ufike 40. kwa mwanamke hapa ni mzee, huo ni umri wa kuwa na experience ya ndoa ya miaka 10+ na watoto wasiopungua 4 hadi 5. Mtu ndio anaenda kwa mwamposa kutafuta ndoa ili aanzishe familia at 37 seriously? [emoji848]
 
Kuna mambo mtu akifanya tunasema anatia jitihada na anapambana, ila kuna umri ukifika kuna vitu ukifanya unaonekana utimamu wa akili una mashaka.

Miaka 37 unatafuta ndoa ukafanye nini? Binti serious anaitafuta ndoa akiwa na miaka kuanzia 16 huko hadi 26 (the prime ten). Mtu anaanza itafuta ndoa katika wakati why Prime decline? 37 ni miaka mitatu tu ufike 40. kwa mwanamke hapa ni mzee, huo ni umri wa kuwa na experience ya ndoa ya miaka 10+ na watoto wasiopungua 4 hadi 5. Mtu ndio anaenda kwa mwamposa kutafuta ndoa ili aanzishe familia at 37 seriously? [emoji848]
na miaka 37 kwa mwanaume ni mzee au kijana?
 
'my body my choice'

'only god can judge me'

'me, myself & I'

na misemo mingine mingi itawekwa hapa

sema kama umeona upande huo kuna shida lazima na huu upande wetu kutakuwa na shida pia

ni janga la taifa
View attachment 3078634
Tusilazimishe kubalance hoja hadi tukaacha ukweli halisi. Hivi tukifanya tathimini ya haraka tu ni nani wanaongoza kwa kuwa na masharti magumu ya kuanzisha mahusiano kati ya Me na Ke?

Mwanamke wa miaka 18 hayupo tayari kuanzia chini anataka mtu mwenye kila anachokitaka, this is majority ya wanawake wa kisasa.

Kijana wa miaka 18 anakuwa so desperate kufanya mahusiano serious sababu hana cha kuoffer mwanamke zaidi ya moyo wake.

So nadhani tuzingatie ukweli.
 
Wengine umri unaenda coz walikuwa wanasearch for a right person bahati mbaya wakairhia kupgwa matukio. Ni kujipa moyo kwa kweli ila wengi wamekata tamaa na wameamua kufany yale wanayoona sawa machon pao. Sa wafanyeje hakuna namna.
Kiukweli na mabinti waelimike nyakatu zinabadilika. Wanaume wameanza sasa kuwa na sugu ya upweke na wanajionea sawa tu Kulala bila mke katika umri mkubwa huku mtoto au watoto wakiwa kwa mama zao au kwa bibi.

Kuna haja ya kurekebisha hili kabla majanga hayajaongezeka.
 
Y’all worried about everything, tatizo nini kwani?

Mi mbona naona fresh tu tuendelee kuishi hivi hivi.

Somehow inanishangaza wanaume ambao si waumini wa ndoa ndio mko worried so much kuhusu wanawake kutokuolewa, you are in denial or something??
Natafuta ajira na Zemanda wanaongea ukweli wa jinsi hali ya kimahusiano ilivyo hivi sasa, all over the world birth rate na kasi ya watu kuoana imepungua, divorce inashangiliwa, partenity fraud kama zote, China na USA wadada wanalalamika wanaume wengi siku hizi hawataki kutongoza.

Ila upande mwingine nahisi natafuta ajira na Zemanda wako bitter coz walishawahi pigwa vitu vizito na wadada 😁 binti kiziwi
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Sisi ndio tunaodate na kutoka na hivyo vibinti, wewe unadate na vibinti hadi ukavikuta havina bikra? [emoji848]

Huku mtaani sisi wanaume ndio tunaoombwa hela na wadada age go wa 30+ wewe ni mwanaume kusema unayapitia haya? [emoji848]

Tunachosema ni uhalisia wewe unaongelea nadharia. Huoni nyuzi nyingi za wanaume wanacomplain kuomba hela na nyuzi za wanaume kukwepa kutoa hela hiyo inakupa picha ipi?

Wanawake ni tegemezi kwa wanaume iwe nje au ndani ya ndoa, sasa ni bora uwe tegemezi ndani ya ndoa angalau unakuwa na legal legitimacy ya kuhudumiwa, sasa umri unaenda halafu upo nje ya ndoa.

Hizo buku ten mnazohongwa zinaishia saloon kujibrand na makucha ya 30K na nywele za 50K bado haujala, haujalipa kodi, usafiri, can you keep up with that life hadi uzeeni?

Sasa wewe bisha kama kawaida yako, 2030 tutasomana ubaoni. Wewe si unajua sana lets wait and see who is the Man of the match. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom