NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Umejitihadi ukamtimizia haja yake ya kumpeleka out kwenye concert ya maisha yake kumwona mwanamuziki aliyetamani maisha yake yote kumwona/kuwaona. Mara anatambulishwa mwanamuziki jukwaani zinapigwa fataki pale za kuonyesha star anaingia mara anaanza kulia akimwona tu anazimia mfano mzuri cheki clips za Michael Jackson. Akizinduka anang'angani kwenda mbele kucheza naye anazuiwa na walinzi anaforce kwa kujigaragaza chini mpaka star/mwanamuziki anasema mwacheni aje akifika pale jukwaani anamkumbatia na kuanza kulia. hivi uta react vipi katika hali kama hii. Akirudi toka jukwaani utaendelea kutabasamu na kucheza naye tuu??? Ni swali tu tu shee mawazo labda mimi nakuwa mshamba hapa.