Ikikutokea wewe Utafanyaje?

Ikikutokea wewe Utafanyaje?

32392803_167936283898224_8784370291225657344_n.jpg

sio vzr mweeh
 
hiyo inakuwa kama suprise maana kama alikuwa anasema hana ....apo itabidi na yeye aanze kunidai mimi
 
Hiyo kitu mbona haipogo?
Kama ali deposit kuptia bank hawezi kuweka 1.5m instead kwakuwa ukikosea kwa tarakimu itabidi ukosee pia kwa maneno so kwa vyovyote ni kitu ambacho hakiwezi tokea via counter deposit.
Kama amehamisha via mobile banking atapiga simu bank yake au mtandao wake atasaidiwa. Simple
 
Back
Top Bottom