Ikipendeza Serikali imtumie Wakili Kibatala kwa zile kesi nje ya nchi

Ikipendeza Serikali imtumie Wakili Kibatala kwa zile kesi nje ya nchi

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kesi anazosimamia Wakili Msomi Kibatala kwa asilimia 95 zinapata ushindi. Mara nyingi Wakili huyu anasimamia kesi za wapinzani lakini anapata ushindi. Kwa kuwa Tanzania tuko wamoja na nchi ni yetu sote ninaishauri SERIKALI imjumuishe Wakaili Msomi huyu kwenye zile kesi za Kamataifa dhidi ya Serikali yetu.

Huyu Wakili ni mzuri sana na suala la kuwatetea wapinzani isiizuie Serikali kumtumia. Hongera sana Wakili msomi Kibatala.

Soma Pia: Kesi ya wabunge 19 wa viti maalum waliofukuzwa CHADEMA, Wakili Kibatala aanza kuwahoji mahakamani
 
Kesi anazosimamia Wakili Msomi Kibatala kwa asilimia 95 zinapata ushindi. Mara nyingi Wakili huyu anasimamia kesi za wapinzani lakini anapata ushindi. Kwa kuwa Tanzania tuko wamoja na nchi ni yetu sote ninaishauri SERIKALI imjumuishe Wakaili Msomi huyu kwenye zile kesi za Kamataifa dhidi ya Serikali yetu. Huyu Wakili ni mzuri sana na suala la kuwatetea wapinzani isiizuie Serikali kumtumia. Hongera sana Wakili msomi Kibatala.
wawapi huyo gentleman? :pulpTRAVOLTA:
 
Watumishi WA umma akili zao zinajali matumbo yao....posho, marupurupu NK, serikali ishinde oshindwe wao haiwahusu....yaani waweke mtu ili ale posho zao kisa ana akili Sana?
 
Hawezi kutoboa, ujinga unakuwa umeshafanyika kwenye mikataba.

Kwamfano siku akija kiongozi mzalendo akataka kuvunja mkataba wa DP World, unadhani Kibatala ataweza kuisaidia serikali ikashinda? Haiwezekani!

As long as viongozi wetu waliokosa uzalendo wanaendelea kusaini mikataba huko mafichoni basi tutaendelea kupigwa tu.
 
Kwa kuwatetea wapinzani wanachukia hatari, kumbuka alivyopangua ile kesi ya kubumba ya Mbowe ya uhaini?

Hao waovu hawapendi mkweli wanataka wanafiki hata wanafiki wazee kama Wassira
 
Watumishi WA umma akili zao zinajali matumbo yao....posho, marupurupu NK, serikali ishinde oshindwe wao haiwahusu....yaani waweke mtu ili ale posho zao kisa ana akili Sana?
hahahaha,nimecheka hawanaga hata muda wa kujua ni nani ana akili sana
 
Kesi anazosimamia Wakili Msomi Kibatala kwa asilimia 95 zinapata ushindi. Mara nyingi Wakili huyu anasimamia kesi za wapinzani lakini anapata ushindi. Kwa kuwa Tanzania tuko wamoja na nchi ni yetu sote ninaishauri SERIKALI imjumuishe Wakaili Msomi huyu kwenye zile kesi za Kamataifa dhidi ya Serikali yetu.

Huyu Wakili ni mzuri sana na suala la kuwatetea wapinzani isiizuie Serikali kumtumia. Hongera sana Wakili msomi Kibatala.

Soma Pia: Kesi ya wabunge 19 wa viti maalum waliofukuzwa CHADEMA, Wakili Kibatala aanza kuwahoji mahakamani
Wale wenye wivu kwenye hizo Bars wstakubali
 
Back
Top Bottom