Ikiruhusiwa hii wangapi mtaenda kudai mpunga wenu?

Ikiruhusiwa hii wangapi mtaenda kudai mpunga wenu?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
20220911_111448.jpg
 
Kutafuta ugomvi na bodi ya mikopo, sijawahi toa ada chuo.. Mkopo wangu ulikuwa 100%.. Na hadi leo sijarudisha hata mia
 
Kama umehesabiwa kwenye sensa ya mwaka huu lazima ulipe tu soon.
Utadaiwa hadi kaburini kama ukileta uhuni wako.
Kwani nina kazi sasa? Sina kazi toka nimemaliza chuo, kula kulala.. Mala moja moja napata vi deal vya laki au elfu 20 inatusaidia home basi maisha yanaenda. Kama ningekuwa na ajira ningekuwa nalipa. Sensa kitaa nilichopo hawakupita. So sijahesabiwa
 
hiyo haiwezi kuruhusiwa!

ukitoa vyeti na makaratasi yote unayopewa pale ukiitimu, elimu ya kweli ni ile nini inabaki kwenye fuvu yako. Kwahiyo uwezi kurudisha cheti upewe ada yako wakati elimu bado umebaki nayo kichwani kwako.
 
Back
Top Bottom