Ikitafutwa Menejimenti ya kuendesha Uwanja wa Mkapa kutoka Afrika Kusini, Watanganyika watapiga kelele ilhali wao wameshindwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ndio kilichobaki aletwe kaburu kutuendeshea Uwanja wa Mkapa

Sisi tunataka burudani Siyo Siasa

Hata Tundu Lissu akitutafutia mwekezaji kutoka Ubelgiji kwa akina Mbwana Samatha na Lukaku ni Sawa tu

Tushachoka sasa bwashee!
 
Ndio kilichobaki aletwe kaburu kutuendeshea Uwanja wa Mkapa

Sisi tunataka burudani Siyo Siasa

Hata Tundu Lisu akitutafutia mwekezaji kutoka Ubelgiji kwa akina Mbwana Samatha na Lukaku ni Sawa tu

Tushachoka sasa bwashee!
Wee unataka wabongo wapige kelele balaa. Bandari imetushinda mapato yanaishia mifukoni mwa watu, sasa wamesikia imekodishwa kwa watu wenye weredi kelele zishaanza. Same itakuwa kwa uwanja. Wabongo sijui sisi huwa tuko efficient kwenye kitu gani labda upigaji tu.
 
Sisi Watanganyika tunaweza " Udalali" tu yaani UCHAWA!
 
Sekta kama hizo ni kukodi watu tu, iwe kama vile timu zinavyotafuta makocha nje ya nchi.
Wabongo upigaji na kujuana kwingi ndo wanajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…