Ikitokea bahati mbaya mtu kama Lissu na wafuasi wake wa Itikadi kali anakuwa Rais, tutarajie hali ya vyuma kukaza kama awamu ya Magufuli

Darasa la saba wamerudoshwa kazini Kwa sharti la kujiendeleza.

Hao wengine haihitaji kuwa mjamaa Ili kuwaondoa .

Mwisho Tija ilikuwa ipi mbona alizalisha mass unemployment?
Kwanini wajiendeleze kama wafit qualifications?
 
KWENYE MAISHA HAKUNA MAMBO YA BAHATI MBAYA WALA NZURI
 
Wewe MPUMBAVVU SEMA tu umejiskia kumsema Magufuli Kwa mgongo wa Lissu, hebu ona hata comments unazojibu watu hazimuhusu Kwa chochote Lissu, Bali Magufuli.

Kinachonishangaza nyie wahanga wa awamu ya Tano, pamoja na kwamba mmerudi kwenye mirija ya ufisadi lakini bado mnaweweseka sana na jina la Magufuli, inavyonekana makovu aliowaachia Magufuli sio ya kupona leo Wala kesho.

Acha ujinga wewe wenzako wako bize wanalamba asali wewe huko Miranda huku unamsema marehemu ambaye hajui chochote kinachoendelea huku.
 
Mageuzi gani
 
Standard Seven ni vyeti fake? Mbona mama kawalipa stahiki zao unaweza mshitaki?
Unaanzaje kuwalipa stahiki watu ambao waliingia kwenye mfumo WA ajira serikalini Kwa njia ya udanganyifu? Kama sio uwendowazimu huo ni Nini?

Ndio maana nasema nyie wafuasi WA Samia mna akili duni sana kama yeye, angalia hata vitu mnavyoshabikia...!! Eti kawalipa stahiki zao shenzy kabisa.

Yaani mtu aliishia form four tu, kisha akaenda kufoji cheti Cha degree then akapata kazi serikalini inayomuhitaji mtu mwenye elimu ya degree, wakati huo mtaani Kuna wahitimu kibao wa elimu ya degree ambao hawana kazi...

Haya imekuja kubainika kwamba mtu huyo aliindanganya serikali kisha akaondolewa kazini Kwa kukosa sifa na nafasi yake kujazwa na mtu mwenye elimu na sifa sahihi...

Halafu leo anakuja raisi mwenye huruma za kipuuzi eti anamlipa stahiki zake kana kwamba alionewa, Sasa hiyo ni akili au matope???

Sasa hiki alichokifanya SI ni kuhalalisha udanganyifu WA kufoji vyeti? Hapo SI ni kama amefungulia mbwa kwa wazee WA vyetu feki?
 
uwongo mtupu yote ni mnahongwa

LISu akiwa RAIS ,tujiandae kufata Sheria na sivinginevyo
 
Lissu awe rais wa kitu gani? Ebu elewesha vizuri tuelewe,
 
Kinachombeba lissu ni kupenda haki, kufuata Sheria na kutopenda rushwa full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…