Ikitokea Bunge likavunjwa ni mpinzani gani atarudi Bungeni? Msipende makelele yasiyo na tija kwenu kisa mpo huru kuongea

Mbuna bunge pia lina mamlaka ya kumuondoa rais madarakani akifanya makosa?
 
Hakuna point Mwana CCM anaweza kuandika inshort 60% of CCM supporters are brainless.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kikosi cha wasiojulikana ni cha CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa zako walishachangia nini cha maana? Acha uduwanzi.
 
Hua natamani kuandika kilichotokea HAI KWA MBOWE ila naishia kufuta ni aibu....
 
Nadhani upo ndani ya box, toka nje, hakika amini kwa ubunge na udiwani zaidi ya 50% inaenda upinzani, na upinzani auhitaji kelele za kila siku, alie pigia upinzani awezi badilika kama hamna cha kumbadilisha, aibu kubwa kwa watawala ni kuiba kura, kila mmoja anajua na ndio imemkosesha heshima jiwe kiasi kikubwa, na mwizi ni mwizi tu, sijui kama kweli ataenda peponi, licha ya dua!
 
wewe ni mjinga katika wajinga. hakuna mtu mwenye akili timamu nchi hii ukaitishwa uchaguzi huru na haki atachagua ccm.
 
  1. Mbowe
  2. sugu
  3. lema
  4. matiko
  5. mikumi
  6. kawe
Kwa zaidi ya 50% ccm ilipora ushindi kwa kutangaza wameshinda kumbe sio kweli. laana ile ndio inawatafuna ccm.
 
  1. Mbowe
  2. sugu
  3. lema
  4. matiko
  5. mikumi
  6. kawe
Kwa zaidi ya 50% ccm ilipora ushindi kwa kutangaza wameshinda kumbe sio kweli. laana ile ndio inawatafuna ccm.
Hata bado ndiyo imeanza Tu kuwatafuna Na itawamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…