Ikitokea kijani kinakuwa chama Cha upinzani 2025, magereza yatatosha?

Ikitokea kijani kinakuwa chama Cha upinzani 2025, magereza yatatosha?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika,

Nchi yetu Ina mfumo wa vyama vingi vya siasa,

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na ikitokea Watanzania wakaamua kuipa CHADEMA kuongoza Nchi kutokana na udhaifu au kutokubalika Kwa mgombea KITI kikubwa wa chama Cha kijani, je magereza haya yatatosha?

Na ikiwa yatatosha, je yatawafaa wahalifu ambao Kwa sasa ni viongozi , wamethibitika kuwa na hatia mbele ya Sheria?

Yaani Butimba, Segerea nk nk Yana hadhi ya kupokea Hawa Wala rushwa wenye ukwasi mkubwa,au wataomba selo spesho za kulipia zijengwe kuwahifadhi?

Karibuni🙏
 
Au wataomba maridhiano kabla ya kukabidhi?
 
.Hii ni sauti ya mtu aliye Nyikani,

Itengenezeni njia ya BWANA,

Ufalme wa Mungu na uje katika Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
 
Hellow Tanganyika,

Nchi yetu Ina mfumo wa vyama vingi vya siasa,

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na ikitokea Watanzania wakaamua kuipa CHADEMA kuongoza Nchi kutokana na udhaifu au kutokubalika Kwa mgombea KITI kikubwa wa chama Cha kijani, je magereza haya yatatosha?

Na ikiwa yatatosha, je yatawafaa wahalifu ambao Kwa sasa ni viongozi , wamethibitika kuwa na hatia mbele ya Sheria?

Yaani Butimba, Segerea nk nk Yana hadhi ya kupokea Hawa Wala rushwa wenye ukwasi mkubwa,au wataomba selo spesho za kulipia zijengwe kuwahifadhi?

Karibuni🙏
Kwahiyo unaanza usaliti right?

No reform no elections ina tofauti gani na ile ya November ya kuhamasisha wananchi wasishiriki kujiandikisha kupiga kura serikali za mitaa,

halafu watu wanakuja kulalamika kuenguliwa na baadae kupinga matokeo ya Uchaguzi ambao walisusia hata kujiandikisha tu?

Tafakari 🐒
 
Kwahiyo unaanza usaliti right?

No reform no elections ina tofauti gani na ile ya November ya kuhamasisha wananchi wasishiriki kujiandikisha kupiga kura serikali za mitaa,

halafu watu wanakuja kulalamika kuenguliwa na baadae kupinga matokeo ya Uchaguzi ambao walisusia hata kujiandikisha tu?

Tafakari 🐒
Umewahi kushiriki kuingiza kura fake kwenye chaguzi zetu, Hasa huu uliopita wa mitaa?
 
Back
Top Bottom