Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
Wee ndo umepotea kabisa tena umevuka hadi mataa
Acha nipotee tu 😛😛😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ndo umepotea kabisa tena umevuka hadi mataa
Hahahh unamuongelea mtangazaji flani wa TBC!?.. Ila me yule Ivona Kamuntu wa Azam kwakweli mumewe nampa salute!, yule dada kuanzia jina tu lakipekee!..Daah mimi juzi nilikuwa naangalia TBC nikaona kabisa mtu ana jicho hilo lakini ikabidi niache tu.
Siku hizi wapo wengi sasa,but many of them wapo vitengo vya uchunguzi wa cancer ie histopathologyDu!...Mkuu Vladimirovich Putin, umetisha, kumbe umepiga Pathology?. Toka nimejiunga JF, leo ndio nimekutana na mtu wa Pathology, zamani enzi za Nyerere, tulikuwa na ma pathologist wawili tuu, mmoja ni Dr. Shaba alikuwa Muhimbili na mwingine ni Dr. Mkulila alikuwa Bugando. Inasemekana kwenye medical school ya enzi hizo, kabla ya mambo ya neurosurgery, pathology ndio lilikuwa somo gumu sana, jee ni kweli?, Au ugumu wa pathology, ni uoga tuu wa kucheza na zile cadavers?.
Au pathology yako ni somo tuu kwenye mtaala wa MD na sio kusoma pathology ili uwe pathologist?.
P
Daah mimi juzi nilikuwa naangalia TBC nikaona kabisa mtu ana jicho hilo lakini ikabidi niache tu.
nani huyo hebu tuwekeeni picha na sisi tusiokuwa na TBC tuone hayo maajabu.Nilijua nimeona peke yangu, lile jicho na tabasamu lake na kwa umri ule, je ujanani ilikuwaje. Mungu kambariki sana na ule upole wake na azidi kumbariki zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hata kumuongelea naogopa kabisa.Nilijua nimeona peke yangu, lile jicho na tabasamu lake na kwa umri ule, je ujanani ilikuwaje. Mungu kambariki sana na ule upole wake na azidi kumbariki zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, Cuzin huyu tunayemuongelea hapa alikuwa anahojiwa TBC. Mimi naogopa kuendeleaHahahh unamuongelea mtangazaji flani wa TBC!?.. Ila me yule Ivona Kamuntu wa Azam kwakweli mumewe nampa salute!, yule dada kuanzia jina tu lakipekee!..
Braza haya mambo ya wakubwa haya, binafsi naogopa haya kuyaongelea.nani huyo hebu tuwekeeni picha na sisi tusiokuwa na TBC tuone hayo maajabu.
wakubwa wa wapi chief...nchi au dunia?Braza haya mambo ya wakubwa haya, binafsi naogopa haya kuyaongelea.
Hahaha, huyo anyeongelewa hapa ni mkubwa sana kinchi na kiumri. Mimi naogopa kumsifia kabisa.wakubwa wa wapi chief...nchi au dunia?
kumsifia tena unaogopa!!!!!!Hahaha, huyo anyeongelewa hapa ni mkubwa sana kinchi na kiumri. Mimi naogopa kumsifia kabisa.
Naogopa na naona hata aibu.kumsifia tena unaogopa!!!!!!
au hapendi sifa yeye?
Hahahah huyo ni noma na anavyokuengalia kwa upole + Jicho ni balaaa.Hahaha, huyo anyeongelewa hapa ni mkubwa sana kinchi na kiumri. Mimi naogopa kumsifia kabisa.
Mimi hata kumuongelea naogopa kabisa.
Ilikuwa ITV leo live. Mzee hapana ngoja niishie hapa.nani huyo hebu tuwekeeni picha na sisi tusiokuwa na TBC tuone hayo maajabu.
Nani huyo mwenye jicho la mvuto? Wekeni hata CODE.
Kwa Maelezo ya wadau itakuwa ni SULULU.Sio Sammy kweli na yale macho?
Kwa Maelezo ya wadau itakuwa ni SULULU.