Ikitokea kwako utafanyaje?

Hebu rudia swali lako mama. Naona kama sijaliona vizuri............... Yaani mama watoto wangu awe na rafiki wa kiume ambaye anaenda kumwambia matatizo ya familia yangu? Yaani............. Sielewi bado.😡



(kitufe cha thanks hakuna ...............ila ungepata yangu moja)

huyu mwanamma alikuwa yupo katiak urafiki wa hali hiyo na mwanamme na mumewe sijui ndio alimuachia?! ndicho kilichomfikisha hapo kutoka nje ya ndoa.
 

Well Said!! You can say that again again and again.

Sasa mwambie mama atubu dhambi zake na asirudie tena kutenda dhambi. Then ndio tuanze kumpa ushauri nasaha..
 
utubu kwa mola wako .....................na uombe akustiri jambo hilo lisijuulikane kwa mume wako na kwa mke wake.

baada ya hapo urafiki nakushauri UFE moja kwa moja wala usifufuke kabisa..................na uache kuwa na marafiki wa jinsia tofauti ambao unakutana nao faragha.
 

thanks gaijin
 
Well Said!! You can say that again again and again.

Sasa mwambie mama atubu dhambi zake na asirudie tena kutenda dhambi. Then ndio tuanze kumpa ushauri nasaha..





The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:
Chrispin (Today)
 
Unathubutu kuandika haya hapa mama? Dah!

Haya wakati unafanya huo uhuni, ndoa yako ilikuwa na umri gani?

ok ngoja nikaulize ilikua na umri gani. kumbe naandika upuuzi, umri huu jamani nazeeka akili mom mie
 
Apo juu rudini kwenye mada acheni kwanza emotions pembeni.......
 
nadhani B mtakuwa mmecement kwa twiga cement au sio?:A S tongue:

shikamoo B wa ukweli!!!

wee B inakuingia akililini hii eti rafiki wa karibu tena wa jinsia tofauti!!!

hata staki kudanganywa mie!!!
 
Unathubutu kuandika haya hapa mama? Dah!

Haya wakati unafanya huo uhuni, ndoa yako ilikuwa na umri gani?

Binamu X-pin wacha jazba wewe ni mtaalam wa saikolojia msaidie mom.:A S-confused1:
 
ok ngoja nikaulize ilikua na umri gani. kumbe naandika upuuzi, umri huu jamani nazeeka akili mom mie

Pole Mom kwa sababu kosa lilishatendeka nadhani unajutia sana moyoni mie sikuhukumu hata kidogo ..lakini kwa nini uliamua ku do- na rafiki yako ? ina maana mzee alikuwa anakunyima unyumba?
 
ckuamua ilikuaja naturaly

Basi alidhamiria... na moja ya matatizo ilikuwa chakula cha usiku...!! No excuse.. atubu ila mumewe akijua ndoa inasambaratia na huyo rafiki alommega mwenza wake(mk e wa rafikiye) ndo wanakuwa paka na panya!
 
Pole Mom kwa sababu kosa lilishatendeka nadhani unajutia sana moyoni mie sikuhukumu hata kidogo ..lakini kwa nini uliamua ku do- na rafiki yako ? ina maana mzee alikuwa anakunyima unyumba?

FL1 cjui nikujibu nn, lakini ni kitu hua haiko planned, unajikuta imehsatokea tu umedo na unajuta labda ikitokea kwako utaelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…