Ikitokea Mapinduzi Cup Simba na Yanga zikakutana

Ikitokea Mapinduzi Cup Simba na Yanga zikakutana

Simba wamepeleka kikosi kamili huku Yanga wakipeleka wachezaji wachache tu wa kikosi cha kwanza. Najiuliza tu, ikitokea Simba na Yanga zikakutana aidha nusu fainali au fainali yenyewe, nini kitatokea!!??!
Ikumbukwe, kwa historia ya timu hizi, ni bora sn simba kufungwa na mashujaa na sio Yanga
Karibuni
Hawatokutana sababu Yanga ashatolewa.
Ila kama ingetokea basi mpaka half time Yanga wamenusurika sanaa, yaani ile hamna hamna Washakula Mkono (5-0)
 
maana yake ni kuwa tff watabadili kanuni kwa kuwa viongozi wengi hapo tff ni mikia
Watu wa Yanga kazi yenu kulialia tu. Fikrieni kipindi ligi inaanza ilikua imepagiwa mechi nne nje ya dar,TFF wakafanya kila njia mechi ya Yanga na mtibwa ichezwe dar na Yanga kua mwenyeji, baada ya hapo Yanga ikacheza mechi 11 dar, lakini bdo mnasema TFF imejaa wa simba. Ikaja mechi ya JKT, mlitakiwa mchezee Tanga TFF wakatengeneza mazingira ikachezwa Dar yote ni kwa ajili ya kuibeba Yanga, lakini bdo mnalia lia kua TFF ni wa simba. Hiyo haitoshi bado TFF hao hao wanaikopesha Yanga fedha bado mnawalaumu .
Hivi Yanga mnataka mfanyiwe nini ili muache kulia lia.
Saizi mnaomba omba kwa sababu ya mmeshazoea kuomba omba afu mnajificha kwenye kivuli cha Yanga ni timu ya wananchi ko inatakiwa ichangiwe hivi kweli mnaakili kweli na KMC, Mbeya City tuzitaje mana ndo timu zinazoendesha kwa kodi ya wananchi, Yanga si ya wananchi ni ya wanachama ndo mana kuna kadi ya uanachama,
Muache kulia lia wakati hakuna asiyejua jinsi TFF inavyowabeba.
Au kulia lia kwenye mnatafuta ili Huruma ya TFF iendelee kuwafunika .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom