Ibn Ayoub
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,237
- 3,081
Msemaji afahamu maana ya rais na rahis ila ktk huo ujumbe kuna ujumbe nyuma ya paziaha ha! hakuna rahis kwenye nchi yetu tuna rais!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji afahamu maana ya rais na rahis ila ktk huo ujumbe kuna ujumbe nyuma ya paziaha ha! hakuna rahis kwenye nchi yetu tuna rais!
Naomba mwenye ufahamu ama jibu MFANO ikitokea katika Uchaguzi ujao wa 2020 Rais aliyepo kama anavyofahamika ni wa awamu ya 5 akashindwa uchaguzi je atayechukua madaraka atafaa kuitwa Rais wa awamu ya 6 ama atakuwa ni Rais wa 6 ila awamu ya 5?
Awamu mana yake ni Rais wa ngapi mfano Trump rais wa 45 mkapa rais wa tatuAwamu sio marudio ni ule msimu tuu. Awamu ya sita na ndivyo itakavyokua kwa magu
Mbona Trump wa 44 anaitwa wa 45Hapo wanaangaliaa ni rais tu. Akija mtu mpya awamu inabadilika ni kama marekani saa hz kuna rais awamu ya 45 sisi. Akija mwngne 2020 atakuwa rais awamu ya 6 ,,ila mheshimiwa akibakia itakuwa ni awamu ya 5 kama kawa
Umechanganya trump ni wa 45Mbona Trump wa 44 anaitwa wa 45
huu ni unabii timilifu mungu atusaidieAwamu sio marudio ni ule msimu tuu. Awamu ya sita na ndivyo itakavyokua kwa magu
Mkuu, si umesikia lakini wakati huu hii nyimbo ya huyu msanii nanisijui nimemsahau jina lake, lakini jina la wimbo ''UCHOCHEZI'', hiyo nyimbo inaimbwa sana kwenye radio station nyingi, na vituo vya Polishii, nikilijua jina la msanii nitakutajia, ngoja ni google TCRA hizo sheria zao mpya, labda naweza pata jina la msanii.Kama utashindwa ku-argue na kuhoji kwa kisingizio hicho basi hamna umuhimu wa kuwa na kichwa chenye ubongo mwingi na kumiliki jibu moja tu la 'UCHOCHEZI'
Anaitwa wa 45 lakini ni mtu wa 44 kuwa Rais kwasababu Grover Cleveland anahesabiwa mara mbili.Umechanganya trump ni wa 45
Sijasema darasa lolote.Unasema darasa la ngapi?
Kwa jinsi nijuavyo [maana si mtaalamu wa hayo mambo] awamu moja inaweza kuwa na mihula miwili au mmoja lakini sii lazima.Kwann 6 mkuu kwani awamu ni miaka 5 au 10? Au Rais ndo awamu?
Inaitwa awamu moja kwa sababu Rais ni yuleyule aliongoza Vipindi vyote viwili!.Naona kama bado hujafafanua kiuwazi mkuu, kama awamu inatenganishwa kwa kipindi cha miaka mitano inakuaje walioongoza miaka 10 still tuliitambua kama ni awamu moja badala ya mbili?