Ikitokea Rais wa nchi akagundulika sio raia wa nchi anayoongoza, nini kinaweza tokea?

Ikitokea Rais wa nchi akagundulika sio raia wa nchi anayoongoza, nini kinaweza tokea?

Na pili anapelekwa mahakamani. Hatuwezi kumuwacha hivihivi
Mtampeleka mahakama ya wapi wakati mtakuwa mmeshasota mkawa kama mashetani huko nchini kwenu. Uzuri Africa hakunaga hayo mambo kabisa
 
Adolph hitler hakua raia wa ujeruman bali alihamia tuu na kupeewa uraia.
Ni mzaliwa wa austria
 
Boss wa usalama ndiyo ataamua cha kufanya. Tena anaweza asimshirikishe MTU.
 
Zambia yasemekana Kaunda hakuwa Mzambia....

Kuna Nchi moja nayo raisi wake wa kwanza yesemekana alikuwa ni Tutsi amepigania uhuru wa Mataifa mengi Africa almaarufu sana kwa kuchonga Meno.. Pia Kuna Nchi moja hivi Africa raisi wake alikuwa kipande cha mtu yasemekana ni chinga kutoka Msumbiji...

Hitler Wa Ujerumani alikuwa ni Kutoka Austria
Obama - Yahudi,Kenyan
Karume Kenge - Malawi
Papa Fransis - Anaongoza nchi iitwayo Vatican huku yeye akiwa ni raia wa Argentina
Same Na Pope Benedict alikuwa raia wa Germany
Huyu wa sasa mtu akiniambia ni From Rwanda sikatai hata kidogo..

Nakumbuka Mtikila alishawahi kusema Tanzania haijawahi kuwa na Raisi Mtanzania
Hii ya Rwanda hauko mbali na ukweli ila ni shida kusema bunge laweza kumuondoa Rais madarakani kwa sababu wabunge wote wa chama tawala wanaiwakilisha serikali badala ya kuwakilisha wanainchi
 
Makini kwa kipi unauhakika watumishi wote serikalini ni watanzania? Kuwa makini na kauri usiwe shabiki.
 
Kabla hujauliza ilo swali, unatakiwa ujue... mtu hadi kuitwa Raiya wa inchi, nivigezo vipi sheria huwa inazingatia. maana ukisema uraiya, hakunaga mwenye asili ya inchi. lazima uwe mzamiaji kwanamna moja amanyingine. kama sio kwa mchanganyiko wadam, inawezakuwa... wakubwa wafamilia waliwai kuzamia huko miaka yanyuma. hayo yapo sana, na hayakwepeki.
 
Kwani Nchi ni nini? Mipaka au nini? Binafsi nikijiona najiona Mwafrika ninae fanana na Mwafrika yoyote wa Afrika.

Kila kitu kina usahihi kwa wakati wake, na wakati sahihi anaepanga ni Mungu tu. Shukuru kwa yote maana hujui nini kusudio kwa kilicho pangwa na Mpangiliaji wa kweli. Only God.
Sasa unauliza nchi ni nini au mipaka nini kuonesha kuwa hayo kwako sio muhimu lakini hapo hapo unajinasibisha na uafrika, Afrika ni Bara na lina mipaka yake. Ungesema wewe unajiona ni Mdunia
 
Zambia na kilichomtokea mnakijua
Ni nchi gani duniani imewahi kuchagua Rais ambaye baadaye akajulikana si RAIA wa nchi hiyo?

Na imani Tume za Uchaguzi moja ya maeneo ambayo wako makini sana ni uthibitisho wa uraia wa mgombea.
 
Aliyekuwa Rais wa Peru kianzia 1990-2000 Alberto Fujimori inasemekana wazazi wake walihamia Peru akiwa mtoto mdogo. Na sheria za Peru zinataka Rais wa nchi awe ni raia wa kuzaliwa.
Fujimori pamoja na kuzaliwa japan lkn aliweza kuwa Rais wa Peru kwa miaka kumi mpk alipokimbilia japan na kutuma Fax ya kujiudhuru Urais wa Nchi. Ingawa kujiudhuru kwake kulikataliwa na bunge la nchi hio kwani walitaka arudi ili akabiliane na mashtaka ya rushwa na uhalifu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Mwingine alisikika akisema eti....naniii .ni raia wa Burundi/hutu na hana cheti cha kuzaliwa. Watu wengine bwana wachochezi hadi bas.
 
Back
Top Bottom