toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa
Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.
Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)
Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .
Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.
Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)
Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .