Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO

Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO

toriyama

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,139
Reaction score
2,223
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof. Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

images (29).jpeg
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof . Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
Wana sifa tofauti

Tunao wenye sifa sahihi lakini siyo janabi
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof . Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
Akaifundishe diet ya maji na karanga afrika
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof . Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
Hafai hata kidogo huyu, hata kidogo hafai...hata mahali alipo hapamfai kabisa...
 
Ikitokea tukapewa nafasi Nyingine, Prof . Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndungulile DG-WHO-africa

Tanzania bado tuna akiba ya watu muhimu na wenye taaluma zao wanaojua nini kifanyike wakati gani na muda gani na kwa sababu gani hasa linapokuja katika taaluma ya Afya.

Nafasi aliyokuwa nayo Mpendwa wetu Ndg. Faustine Ndungulile (R.I.P)

Anaweza isimamia vyema Prof . Janabi
Apendekezwe akasimame Katia kinyangalilo hicho .

View attachment 3167379
Kwamba nafasi aliyonayo haimtoshi? Wewe ni mkwewe?
 
Umahiri wa kitaaluma, uzoefu wa kazi na uongozi unafanya Professor Janabi kuwa Mtanzania pekee mwenye kufaa kumrithi Dr Faustine Ndugulile (RIP) huko WHO Regional Office - Brazzaville. Asanteni
Sio nafasi ya kurithi hiyo
 
Umahiri wa kitaaluma, uzoefu wa kazi na uongozi unafanya Professor Janabi kuwa Mtanzania pekee mwenye kufaa kumrithi Dr Faustine Ndugulile (RIP) huko WHO Regional Office - Brazzaville. Asanteni
Subiri uone ma dr watakavyopigana figisu....na uchawi juu hahaha
Ila huyu mtu wako hapati kitu...pole
 
Back
Top Bottom