Ikitokea umejisaidia kichakani kisha mtu akazoa kinyesi chako utapigana nae?

Ikitokea umejisaidia kichakani kisha mtu akazoa kinyesi chako utapigana nae?

kuna watu hamna akili hahahahaha asa mawazo gani haya hahahaha.

out of topic. mie kuna sehemu nilipita nkakuta watu wameshikana mashati mmoja ana mtuhumu mwenzake kumzoa unyayo (alipo kanyaga ) na anataka arudishiwe mchanga wa alipo kanyaga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
WATU WEWEEEEE!! WEWE BABA HII FUNGIA MWAKA DUUU!! AF HUJAULIZA WATU WAKIJA KUWAAMULIA KAMA MGAMBO WA JIJI VILE!! UTAJIELEZAJE KWA NINI UNAMKABA MWENZIO?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Yaani umeshajisaidia na tayari umeanza kuondoka. Hapo ina maana tayari hiko kinyesi huna haja nacho ndo maana ukakiacha hapo. Sasa kama Mtu ana uhitaji nacho kwa nini ugombane naye?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
WATU WEWEEEEE!! WEWE BABA HII FUNGIA MWAKA DUUU!! AF HUJAULIZA WATU WAKIJA KUWAAMULIA KAMA MGAMBO WA JIJI VILE!! UTAJIELEZAJE KWA NINI UNAMKABA MWENZIO?
[emoji23][emoji23][emoji23]Unamwambia kaiba kinyesi changu
 
Back
Top Bottom