Hiv huwa mnategaje pale? [emoji3] Sijawah bahatisha hata nambanatega UDBS , nachakata KE zote za pale
Hapo bajet yake itakuwa kama shilingi ngapi!!Naenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending[emoji12]
naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....
Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....
Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.
Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
ukiwa na spacio, etc, unapaki pale 'utawala' , umemaliza mchezo
Sitataka kujua ila tu hayo mambo lazima yafanyike yote kwa siku moja...Hapo bajet yake itakuwa kama shilingi ngapi!!
Itapendeza kama utakua na ngosha pembeni akikupungia upepo na kubeba pochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending[emoji12]
naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....
Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....
Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.
Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
😅😅😅Itapendeza kama utakua na ngosha pembeni akikupungia upepo na kubeba pochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
natega UDBS , nachakata KE zote za pale
huu si uzalendo mkuuNitatafuta mzungu ni muoe
ela si itakua imeisha mkuu maana hyo wine utakunywa ya m21 plus na hizo activities nyingine, manunuzi unaweza ukajikuta huna nauli ya daladala ukiamka kurudi mabwepandeNaenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending😜
naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....
Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....
Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.
Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
Wine ya laki 5 itanifaa naona.ela si itakua imeisha mkuu maana hyo wine utakunywa ya m21 plus na hizo activities nyingine, manunuzi unaweza ukajikuta huna nauli ya daladala ukiamka kurudi mabwepande
apo sawaWine ya laki 5 itanifaa naona.
Hivyo vingine ni vidogo sana sio gharama kivile.
Nadhani nitateketeza kama 5m hivi.