Ikitokea umepata milioni 100, utaifanyia nini?

Ikitokea umepata milioni 100, utaifanyia nini?

Naenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending[emoji12]

naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....

Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....

Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.

Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
Hapo bajet yake itakuwa kama shilingi ngapi!!
 
Naenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending[emoji12]

naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....

Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....

Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.

Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
Itapendeza kama utakua na ngosha pembeni akikupungia upepo na kubeba pochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi iyo 100M nitaponda raha Yote kwanza 30M nachukua zangu Harrier mpyaaa afu inabak 70M nachukua appartment ya gorofa ya 9M kwa mwaka nalpia miaka miwili 18M afu 2M nachukua pamba kali na bak na 50M iyo n ya kula raha miaka miwili kwa mwez nakula 2M miaka miwili 48M kwisha inabak 2M nauza harrier 20M najumlsha inakua 22 hapo narud zangu kijijini nikaendelee kuteseka tayar nmefuta mkosi nmejipa raha
 
Daaah sa nazipata wapi mkuu huo mfano haupo nyie[emoji16][emoji16].
 
Mimi nitAnunua frem kariakoo hata iwe 50m nipate kafrem kwanza then 30m za mzgo 20 ntaangalia cha kufanya
 
Naenda salon najiweka sawa kila mahali, natoka hapo naingia gym after gym nafanya full body scub and full body massage without happy ending😜

naingia sauna na steam bath...
Nikitoka hapo naenda 5star Hotel...nqpiga simu maduka ya nguo kali na viatu waje waniletee hapo nifanye shopping nikiwa hapo hotelini....

Nikishaoga na kupendeza naenda kupata dinner pamoja na wine expensive kuliko zote inayopatikana hapo....

Narudi zangu room narelax kitandani nikiperuzi jf kuwasoma watu wenye shida zao nikiwafariji na kuwapa pole.

Kesho yake natafuta financial advisor aje tuongee....
ela si itakua imeisha mkuu maana hyo wine utakunywa ya m21 plus na hizo activities nyingine, manunuzi unaweza ukajikuta huna nauli ya daladala ukiamka kurudi mabwepande
 
ela si itakua imeisha mkuu maana hyo wine utakunywa ya m21 plus na hizo activities nyingine, manunuzi unaweza ukajikuta huna nauli ya daladala ukiamka kurudi mabwepande
Wine ya laki 5 itanifaa naona.
Hivyo vingine ni vidogo sana sio gharama kivile.
Nadhani nitateketeza kama 5m hivi.
 
Back
Top Bottom