joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwani nini definition ya mgogoro? Yaani timu kila mchezaji awe na boss wake halafu kusiwe na mgogoro na mgawanyiko labda may be wewe definition ya mgogoro ina apply kwa Yanga tu. Sasa alazimishe mifano, wakati gali halisi kabla ya kuja MO ilikuwa inafahamika, kwani kabla ya kuja Mo timub yako ilikuwa chini ya akina nani?Naijua historia ya timu zote mbili vizuri tu, usilazimishe kwamba sijui hiki wala kile.
Unachokiongelea hakifanani na migogoro mliyowahi kuwa nao nyie ambayo inajibu swali la mleta mada. Mkibanwa mna tabia ya kuleta na kulazimisha mifano ambayo wala hailingani na kinachoongelewa.
Mleta mada ameuliza itakuwaje wachezaji 20 tena akasema kabisa WA YANGA wakivunja mikataba kwa wakati mmoja? Mimi nimejibu kwa kukumbusha kuwa hilo limeshawahi kutokea zaidi ya mara moja na nikatoa mifano kabisa. Lini Simba walikuwa na mgogoro wa aina hiyo anayosema mleta mada?Kwani nini definition ya mgogoro? Yaani timu kila mchezaji awe na boss wake halafu kusiwe na mgogoro na mgawanyiko labda may be wewe definition ya mgogoro ina apply kwa Yanga tu. Sasa alazimishe mifano, wakati gali halisi kabla ya kuja MO ilikuwa inafahamika, kwani kabla ya kuja Mo timub yako ilikuwa chini ya akina nani?
Ajabu sanaKumbw analipwa mshahara, sasa kwanini anakula ugali na sukari?
Walifukuzwa wakati ligi iko on?Mleta mada ameuliza itakuwaje wachezaji 20 tena akasema kabisa WA YANGA wakivunja mikataba kwa wakati mmoja? Mimi nimejibu kwa kukumbusha kuwa hilo limeshawahi kutokea zaidi ya mara moja na nikatoa mifano kabisa. Lini Simba walikuwa na mgogoro wa aina hiyo anayosema mleta mada?
Hii ina uhusiano gan na mada inayojadiliwa?Haihalalishi... Lakin kwann iwe baina ya hiyo club na wachezaji au taasisi? Yan kwenye club hasa kitengo cha sheria hakipo sawa hasa kwenye mikataba kuna shida na hii ni mbaya sana....
Matakataka [emoji706][emoji706]Kwani ndani ya uwanja nyinyi mmefanikiwa nini kushiriki makundi kombe la loosers au wanaume wapo Caf champions league huko wanacheza na wanaume wenzao nyie endeleeni kusikiliza ujinga wa manara yaani caf confederation cup mnapiga kelele hivyo mara ya mwisho kushiriki Caf champions league wewe ulikuwa hujazaliwa ilikuwa 1996 mpaka leo
Tuonyeshe hata kombe la looser ! Nyie ni kima tuKwani ndani ya uwanja nyinyi mmefanikiwa nini kushiriki makundi kombe la loosers au wanaume wapo Caf champions league huko wanacheza na wanaume wenzao nyie endeleeni kusikiliza ujinga wa manara yaani caf confederation cup mnapiga kelele hivyo mara ya mwisho kushiriki Caf champions league wewe ulikuwa hujazaliwa ilikuwa 1996 mpaka leo
Nahisi uchovu katika kuijadili hii mada. Kila la heri katika kumpigania Feisal arejee kikosini!Walifukuzwa wakati ligi iko on?
Kuku kweli wewe jibu swali tsh ngapi?Mpira si biashara ya utumwa. Mchezaji wajibu wake unaambatana na nia ya kutimiza huo wajibu, ukiondoa nia basi ni sawa na huna huyo mchezaji hata kama utalazimisha awepo kikosini. Kuwa na wachezaji 20 wasio na nia ya kuipigania timu ni bora wasiwepo tu. Ni sawa na kufuga mbuzi wafukuze paka wezi wa kuku. Utasema una walinzi ila ni kama huna tu.
Uliivamia na sasa umerudi kwenye 'sense zako'Nahisi uchovu katika kuijadili hii mada. Kila la heri katika kumpigania Feisal arejee kikosini!
MmmmhTuonyeshe hata kombe la looser ! Nyie ni kima tu
πππ Nimesema kila ninachohitaji kusema, naacha muda utaongea.Uliivamia na sasa umerudi kwenye 'sense zako'
Hizi kelele mtanyamaza wenyewe endeleeni kutafta matakataka ya kuwafariji[emoji122][emoji122][emoji122] Nimesema kila ninachohitaji kusema, naacha muda utaongea.
Wale wa milioni 500 niliwajibu sana jana na leo. Ona hapa point #5. Nililisema hili sana tu watu wakaanza kuleta habari za mikataba ya ujenzi wa madaraja [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Hauwezi kuvuna usichopanda.
View attachment 2537413
Hata maandiko yanasema ukipewa bure toa bure. Mlifurahi kupewa Feisal bure leo mnataka milioni 500, na kuna mtu ameanzisha uzi akisema mnataka bilioni 2 ili mtambe mjini π€£ππ€£ 500m ya nyoko!Hizi kelele mtanyamaza wenyewe endeleeni kutafta matakataka ya kuwafariji
Aaah kumbe basi komaa na mada yako...Hii ina uhusiano gan na mada inayojadiliwa?
Kwann unajitia wendawazimu? Nani kakuambia mkataba unavunjwa kiholela kiasi hicho? Tumia akili basi. Rudi kwenye sense please. Kwamba ukishapata maslahi bora 'elsewhere' unawea kuvunja mkataba kiholela???? Acha kuchangia mada zangu.....akili ndogo sana[emoji122][emoji122][emoji122] Nimesema kila ninachohitaji kusema, naacha muda utaongea.
Wale wa milioni 500 niliwajibu sana jana na leo. Ona hapa point #5. Nililisema hili sana tu watu wakaanza kuleta habari za mikataba ya ujenzi wa madaraja [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Hauwezi kuvuna usichopanda.
View attachment 2537413
Ukimaliza form four uje tena kuchangiaAaah kumbe basi komaa na mada yako...
Huna akili kabisaHata maandiko yanasema ukipewa bure toa bure. Mlifurahi kupewa Feisal bure leo mnataka milioni 500, na kuna mtu ameanzisha uzi akisema mnataka bilioni 2 ili mtambe mjini [emoji1787][emoji23][emoji1787] 500m ya nyoko!
Embu niachane na hii mada.
Madogo wa panya road mna shida sana. Sasa unaanza kuchagua nani achangie mada zako kwa kuwa kuna wengine wanasema usichotaka kusikia. Haya, kila la kheri.Kwann unajitia wendawazimu? Nani kakuambia mkataba unavunjwa kiholela kiasi hicho? Tumia akili basi. Rudi kwenye sense please. Kwamba ukishapata maslahi bora 'elsewhere' unawea kuvunja mkataba kiholela???? Acha kuchangia mada zangu.....akili ndogo sana
Mada unaiacha pembeni unajadili unayoyajua wewe. Seems uliugua sana utotoniMadogo wa panya road mna shida sana. Sasa unaanza kuchagua nani achangie mada zako kwa kuwa kuna wengine wanasema usichotaka kusikia. Haya, kila la kheri.