Tetesi: IKIWA ATAKOSA FURSA YA KUGOMBEA URAIS DR.WILBROAD P. SLAA KUGOMBEA UBUNGE

Tetesi: IKIWA ATAKOSA FURSA YA KUGOMBEA URAIS DR.WILBROAD P. SLAA KUGOMBEA UBUNGE

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
na kugombea urais kwenyewe, itategemea uwezekano wa kupewa fursa hiyo ya kugombea, hasa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo chadema,

duru za kisiasa zinaeleza, uwezekano huo upo, tena mkubwa sana, lakini pia ikiwa ni vigumu na ikishindikana, basi planB itatumika bila mbambamba yoyote ili kuimarisha uhai wa demokrasia nchini.

atagombea ubunge miongoni mwa majimbo katika mkoa wa dar, Manyara au Arusha..

unaonaje mipango mikakati hii kabambe ya kisiasa ya nguli na mkongwe huyu katika siasa za Tanzania alie kimya sana wakati huu?🐒
 
Hakuna wengine wanaweza kugombea zaidi yakee Ili awapisheee angalau
 
Mhombea uraisi Chadema wameanza kumwandaa mwanasiasa mmoja toka kanda ya ziwa mwenye ushaw9shi sans

Sababu ya kutaka kupata kura nying9 toka kanda ya ziwa ambsko ndiko asilimia kubwa ya wapiga kura wapo na ndio kanda ambayo kura zake huamua nani awe raisi

Tundu Lisu wenyewe wanasema kura zake chache na zimetawanyika kidokifogo huku na kule ndio maana safari hii Chadema wameona waje na mtu awezaye pata kura nyingi kanda yake kama ilivyokuwa kwa Lowasa.

Lisu kanda yake haina kura nyingi ni anaokota kura za hapa na pale tu hana sehemu ambako ana mizizi ya concentration kubwa ya kura

Uwezekano wa Lisu.kugombea uraisi kupitia Chadema haupo.Anajiandaa kwenda ACT Wazalendo kujaribu Bahati yake lakini nsko kuna taarifa kuwa wapemba akina Juma Duni Haji hawamtaki kisa walimchezea rafu alipokuwa Chadema

Hivyo kwa uraisi asahau labda ajaribu ubunge
 
Hakuna wengine wanaweza kugombea zaidi yakee Ili awapisheee angalau
nadhani wengine wengi ni waoga sana, wamejifinya nyuma ya keyboard zaidi na hakuna mageuzi wanachochea field 🐒
 
Mhombea uraisi Chadema wameanza kumwandaa mwanasiasa mmoja toka kanda ya ziwa mwenye ushaw9shi sans

Sababu ya kutaka kupata kura nying9 toka kanda ya ziwa ambsko ndiko asilimia kubwa ya wapiga kura wapo na ndio kanda ambayo kura zake huamua nani awe raisi

Tundu Lisu wenyewe wanasema kura zake chache na zimetawanyika kidokifogo huku na kule ndio maana safari hii Chadema wameona waje na mtu awezaye pata kura nyingi kanda yake kama ilivyokuwa kwa Lowasa.

Lisu kanda yake haina kura nyingi ni anaokota kura za hapa na pale tu hana sehemu ambako ana mizizi ya concentration kubwa ya kura

Uwezekano wa Lisu.kugombea uraisi kupitia Chadema haupo.Anajiandaa kwenda ACT Wazalendo kujaribu Bahati yake lakini nsko kuna taarifa kuwa wapemba akina Juma Duni Haji hawamtaki kisa walimchezea rafu alipokuwa Chadema

Hivyo kwa uraisi asahau labda ajaribu ubunge
unaelewa waandamizi wengi chadema wakiongozwa na mkubwa wa Chama chao, wanaendelea zaidi Dr.Slaa awe mgombea urasi wao na si mwingine...

but na Mzee pia akasoma mazingira na kuona ya kwamba ikiwa hilo litakwama basi kutokana na baadhi ya wabishi pale chadema, basi walau awasaidie kwenye nafasi ya ubunge...🐒
 
na kugombea urais kwenyewe, itategemea uwezekano wa kupewa fursa hiyo ya kugombea, hasa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo chadema,

duru za kisiasa zinaeleza, uwezekano huo upo, tena mkubwa sana, lakini pia ikiwa ni vigumu na ikishindikana, basi planB itatumika bila mbambamba yoyote ili kuimarisha uhai wa demokrasia nchini.

atagombea ubunge miongoni mwa majimbo katika mkoa wa dar, Manyara au Arusha..

unaonaje mipango mikakati hii kabambe ya kisiasa ya nguli na mkongwe huyu katika siasa za Tanzania alie kimya sana wakati huu?🐒
Kwani kuhaha huku kote sababu ni nini?
 
Shida ni nguvu ya kuwalisha wengine unachoamini wewe.
sina haja kumlisha yeyote chochote,

ni vyema kila moja awe na fikra huru🐒

ni muhimu zaidi kumuamini Mungu kuliko ushirikina 🐒
 
Dr.Slaa agombanie Ubunge,Lissu agombani Uraisi mambo yatakuwa ni moto moto.
 
Dr. Slaa ni president material, ni mtu mwenye uwezo wa kujenga hoja pia uwezo wake kiuongozi pale alipokuwa mwenyekiti wa kamati za bunge na katibu mkuu Chadema.
Tatizo ni unafiki wa viongozi wa Chadema. Hawakawii kumgeuka natamani kiibuke chama kingine kisichokuwa na mabaki ya CCM agombee.
 
ANATAFUTA HELA ZA KUHONGA TENA JOSEPHINE MUSHUMBUSHI,MZEE ZAMA ZIMEBADILIKA,UTAKUFA NJAA MJINI HAPO,KAMA UNA SHAMBA RUDI BUSH UKALIME
 
Back
Top Bottom