Ikiwa bara la Afrika na Tanzania hatutaki kuongozwa na watu kama Magufuli, hatutaendelea kamwe!

Ikiwa bara la Afrika na Tanzania hatutaki kuongozwa na watu kama Magufuli, hatutaendelea kamwe!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Itakuwa Niko kaburini ambako hakuna fahamu za kuelewa chochote kinachoendelea duniani, na ndio itakuwa mwisho wangu wa kushindwa kuelewa mwelekeo wa kimapinduzi makubwa ya kiuchumi ambayo hayati JPM alikuwa akiyaona huko tukiendako kama Taifa.

Ni mjinga pekee ambaye anaweza kupinga mwelekeo aliokuwa akienda nao huyu mwendazake.

Ni Rais pekee na wa kwanza na huwenda akawa wa mwisho ambaye kuingia kwake kwenye kinyang'anyiro cha urais na hadi kampeni akijinadi kuwa, Yuko tayari afe Kwa ajiri ya Tanzania.

Ni mtu mjinga tu ambaye anaweza kusema SGR sio mradi unaoharakisha maendeleo nchini

Ni mtu mpumbavu tu na mjinga kabisa ambaye anaweza kusema, JKNHP sio mradi unaoharakisha na kuleta mapinduzi ya kiuchumi nchini.

Kwa Sera za wazungu walioko Ulaya, hawataki kabisa kuona Africa ikiondokana na umasikini na kuwa tegemezi kwao. Na Kwa mantiki hii, viongozi dizaini ya Magufuli, ni Tiba ya wakoloni hawa kwa bars letu la Africa na Tanzania, wakidinda, nao wanadinda! Furu kuonyeshana ubabe tu!

Huwezi kuzuia kujengwa Bomba la mafuta Kutoka Uganda Kwa kisingizio cha uchafuzi wa mazingira ili hali kwao kuna viwanda visivyohesabika na uchafuzi wa mazingira ya kiwango cha juu kabisa!

Ikumbukwe pia, ni hao hao ambao walileta mikwara kuhusu ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme JKNHP kuwa, ni uharibifu wa mazingira, Ashukuriwe Mungu, rais aliyekuwepo kipindi hiko angelelikuwa ni muoga kama marais wengi wa Africa, JKNHP tungeisikia kwenye Bomba.

Nashangaa ni Kwanini mradi huu unachelewa sana, na wakati mradi huu ni kichocheo cha ukuaji wa viwanda na maendeleo Kwa baraka.

Ukuaji wa uchumi Afrika na Tanzania, inahitaji viongozi jasiri wasioogopa vitisho vya wazungu!

Ni wakati wa viongozi wetu kujitoa mhanga Kwa ajiri ya uchumi wa nchi zao kama ilivyokuwa Kwa Mwendazake JPM, la sivyo, njia ya kwenda kwao kukopa itakuwa ni njia ya kila siku kuliko hata ile ya viongozi wetu kwenda nyumbani kwao!

Umasikini wa nchi zetu, chanzo kikuu ni uwoga wa viongozi wetu! Na wazungu wanalijua hili! Wanawatishia nao wanakubali kitishwa.
 
Upo sahihi mkuu nadhani hata hii issue ya mabeberu kufungia ujenzi wa gesi na bomba la mafia JPM asingeruhusu usitishwaji wa mradi
 
Itakuwa Niko kaburini ambako hakuna fahamu za kuelewa chochote kinachoendelea duniani, na ndio itakuwa mwisho wangu wa kushindwa kuelewa mwelekeo wa kimapinduzi makubwa ya kiuchumi ambayo hayati JPM alikuwa akiyaona huko tukiendako kama Taifa.

Ni mjinga pekee ambaye anaweza kupinga mwelekeo aliokuwa akienda nao huyu mwendazake.

Ni Rais pekee na wa kwanza na huwenda akawa wa mwisho ambaye kuingia kwake kwenye kinyang'anyiro cha urais na hadi kampeni akijinadi kuwa, Yuko tayari afe Kwa ajiri ya Tanzania.

Ni mtu mjinga tu ambaye anaweza kusema SGR sio mradi unaoharakisha maendeleo nchini

Ni mtu mpumbavu tu na mjinga kabisa ambaye anaweza kusema, JKNHP sio mradi unaoharakisha na kuleta mapinduzi ya kiuchumi nchini.

Kwa Sera za wazungu walioko Ulaya, hawataki kabisa kuona Africa ikiondokana na umasikini na kuwa tegemezi kwao. Na Kwa mantiki hii, viongozi dizaini ya Magufuli, ni Tiba ya wakoloni hawa kwa bars letu la Africa na Tanzania, wakidinda, nao wanadinda! Furu kuonyeshana ubabe tu!

Huwezi kuzuia kujengwa Bomba la mafuta Kutoka Uganda Kwa kisingizio cha uchafuzi wa mazingira ili hali kwao kuna viwanda visivyohesabika na uchafuzi wa mazingira ya kiwango cha juu kabisa!

Ikumbukwe pia, ni hao hao ambao walileta mikwara kuhusu ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme JKNHP kuwa, ni uharibifu wa mazingira, Ashukuriwe Mungu, rais aliyekuwepo kipindi hiko angelelikuwa ni muoga kama marais wengi wa Africa, JKNHP tungeisikia kwenye Bomba.

Nashangaa ni Kwanini mradi huu unachelewa sana, na wakati mradi huu ni kichocheo cha ukuaji wa viwanda na maendeleo Kwa baraka.

Ukuaji wa uchumi Afrika na Tanzania, inahitaji viongozi jasiri wasioogopa vitisho vya wazungu!

Ni wakati wa viongozi wetu kujitoa mhanga Kwa ajiri ya uchumi wa nchi zao kama ilivyokuwa Kwa Mwendazake JPM, la sivyo, njia ya kwenda kwao kukopa itakuwa ni njia ya kila siku kuliko hata ile ya viongozi wetu kwenda nyumbani kwao!

Umasikini wa nchi zetu, chanzo kikuu ni uwoga wa viongozi wetu! Na wazungu wanalijua hili! Wanawatishia nao wanakubali kitishwa.
Wacha kuweka UPUMBAVU wako hadharani. Magufuli hakuwa kiongozi na wala hakuwa na uwezo wowote.
Magufuli alikuwa mwizi fulani, mwongo na DIKTETA aliyetumia UJINGA wa Watanzania walio wengi wakamuona eti ni shujaa.

Kama unataka kutawaliwa na Magufuli kufa na wewe utamkuta huko kuzimu akakupe uwaziri wa Nishati.

Midubwasha aina ya Magufuli haitokuja kupata nafasi kamwe kwa Tanzania yetu
 
Itakuwa Niko kaburini ambako hakuna fahamu za kuelewa chochote kinachoendelea duniani, na ndio itakuwa mwisho wangu wa kushindwa kuelewa mwelekeo wa kimapinduzi makubwa ya kiuchumi ambayo hayati JPM alikuwa akiyaona huko tukiendako kama Taifa.

Ni mjinga pekee ambaye anaweza kupinga mwelekeo aliokuwa akienda nao huyu mwendazake.

Ni Rais pekee na wa kwanza na huwenda akawa wa mwisho ambaye kuingia kwake kwenye kinyang'anyiro cha urais na hadi kampeni akijinadi kuwa, Yuko tayari afe Kwa ajiri ya Tanzania.

Ni mtu mjinga tu ambaye anaweza kusema SGR sio mradi unaoharakisha maendeleo nchini

Ni mtu mpumbavu tu na mjinga kabisa ambaye anaweza kusema, JKNHP sio mradi unaoharakisha na kuleta mapinduzi ya kiuchumi nchini.

Kwa Sera za wazungu walioko Ulaya, hawataki kabisa kuona Africa ikiondokana na umasikini na kuwa tegemezi kwao. Na Kwa mantiki hii, viongozi dizaini ya Magufuli, ni Tiba ya wakoloni hawa kwa bars letu la Africa na Tanzania, wakidinda, nao wanadinda! Furu kuonyeshana ubabe tu!

Huwezi kuzuia kujengwa Bomba la mafuta Kutoka Uganda Kwa kisingizio cha uchafuzi wa mazingira ili hali kwao kuna viwanda visivyohesabika na uchafuzi wa mazingira ya kiwango cha juu kabisa!

Ikumbukwe pia, ni hao hao ambao walileta mikwara kuhusu ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme JKNHP kuwa, ni uharibifu wa mazingira, Ashukuriwe Mungu, rais aliyekuwepo kipindi hiko angelelikuwa ni muoga kama marais wengi wa Africa, JKNHP tungeisikia kwenye Bomba.

Nashangaa ni Kwanini mradi huu unachelewa sana, na wakati mradi huu ni kichocheo cha ukuaji wa viwanda na maendeleo Kwa baraka.

Ukuaji wa uchumi Afrika na Tanzania, inahitaji viongozi jasiri wasioogopa vitisho vya wazungu!

Ni wakati wa viongozi wetu kujitoa mhanga Kwa ajiri ya uchumi wa nchi zao kama ilivyokuwa Kwa Mwendazake JPM, la sivyo, njia ya kwenda kwao kukopa itakuwa ni njia ya kila siku kuliko hata ile ya viongozi wetu kwenda nyumbani kwao!

Umasikini wa nchi zetu, chanzo kikuu ni uwoga wa viongozi wetu! Na wazungu wanalijua hili! Wanawatishia nao wanakubali kitishwa.
Bado msiba haujaisha tu! duh!
 
Upo sahihi mkuu nadhani hata hii issue ya mabeberu kufungia ujenzi wa gesi na bomba la mafia JPM asingeruhusu usitishwaji wa mradi
Daaah ni kweli bomba limezuiwa?

Yaani watu wapo kwao ulaya wanatuzuia sisi kwetu tusiweke bomba letu.

Tumekwisha
JPM bado alihitajika sana 🙏
 
Itakuwa Niko kaburini ambako hakuna fahamu za kuelewa chochote kinachoendelea duniani, na ndio itakuwa mwisho wangu wa kushindwa kuelewa mwelekeo wa kimapinduzi makubwa ya kiuchumi ambayo hayati JPM alikuwa akiyaona huko tukiendako kama Taifa.

Ni mjinga pekee ambaye anaweza kupinga mwelekeo aliokuwa akienda nao huyu mwendazake.

Ni Rais pekee na wa kwanza na huwenda akawa wa mwisho ambaye kuingia kwake kwenye kinyang'anyiro cha urais na hadi kampeni akijinadi kuwa, Yuko tayari afe Kwa ajiri ya Tanzania.

Ni mtu mjinga tu ambaye anaweza kusema SGR sio mradi unaoharakisha maendeleo nchini

Ni mtu mpumbavu tu na mjinga kabisa ambaye anaweza kusema, JKNHP sio mradi unaoharakisha na kuleta mapinduzi ya kiuchumi nchini.

Kwa Sera za wazungu walioko Ulaya, hawataki kabisa kuona Africa ikiondokana na umasikini na kuwa tegemezi kwao. Na Kwa mantiki hii, viongozi dizaini ya Magufuli, ni Tiba ya wakoloni hawa kwa bars letu la Africa na Tanzania, wakidinda, nao wanadinda! Furu kuonyeshana ubabe tu!

Huwezi kuzuia kujengwa Bomba la mafuta Kutoka Uganda Kwa kisingizio cha uchafuzi wa mazingira ili hali kwao kuna viwanda visivyohesabika na uchafuzi wa mazingira ya kiwango cha juu kabisa!

Ikumbukwe pia, ni hao hao ambao walileta mikwara kuhusu ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme JKNHP kuwa, ni uharibifu wa mazingira, Ashukuriwe Mungu, rais aliyekuwepo kipindi hiko angelelikuwa ni muoga kama marais wengi wa Africa, JKNHP tungeisikia kwenye Bomba.

Nashangaa ni Kwanini mradi huu unachelewa sana, na wakati mradi huu ni kichocheo cha ukuaji wa viwanda na maendeleo Kwa baraka.

Ukuaji wa uchumi Afrika na Tanzania, inahitaji viongozi jasiri wasioogopa vitisho vya wazungu!

Ni wakati wa viongozi wetu kujitoa mhanga Kwa ajiri ya uchumi wa nchi zao kama ilivyokuwa Kwa Mwendazake JPM, la sivyo, njia ya kwenda kwao kukopa itakuwa ni njia ya kila siku kuliko hata ile ya viongozi wetu kwenda nyumbani kwao!

Umasikini wa nchi zetu, chanzo kikuu ni uwoga wa viongozi wetu! Na wazungu wanalijua hili! Wanawatishia nao wanakubali kitishwa.
Ni kweli kabisa kuwa Magufuli alifanya kazi. Pengine alichokosea katika kazi yake ni kutojenga taasisi. Tumeshauriwa na Obama kuwa Afrika kwa sasa haihitaji viongozi wenye mabavu bali taasisi imara. Angelifanyia kazi hilo wala tusinvemsikia sana. Pia pengine angekuwepo bado. Kadhalika miradi yake mingi pengine ingekuwa imeshakamilima
 
Ni kweli kabisa kuwa Magufuli alifanya kazi. Pengine alichokosea katika kazi yake ni kutojenga taasisi. Tumeshauriwa na Obama kuwa Afrika kwa sasa haihitaji viongozi wenye mabavu bali taasisi imara. Angelifanyia kazi hilo wala tusinvemsikia sana. Pia pengine angekuwepo bado. Kadhalika miradi yake mingi pengine ingekuwa imeshakamilima
Naamini fikra za watu kwanza zikibadilika kisha ndio ije hiyo mifumo imara, wenzetu wazungu hatujatofautiana kwa mifumo tu.
 
Wacha kuweka UPUMBAVU wako hadharani. Magufuli hakuwa kiongozi na wala hakuwa na uwezo wowote.
Magufuli alikuwa mwizi fulani, mwongo na DIKTETA aliyetumia UJINGA wa Watanzania walio wengi wakamuona eti ni shujaa.

Kama unataka kutawaliwa na Magufuli kufa na wewe utamkuta huko kuzimu akakupe uwaziri wa Nishati.

Midubwasha aina ya Magufuli haitokuja kupata nafasi kamwe kwa Tanzania yetu
Ujinga wa watanzania wengi na wewe ukiwemo kwenye listi ya wafoji vyeti
 
Ujinga wa watanzania wengi na wewe ukiwemo kwenye listi ya wafoji vyeti
Ukiona mtu anamkosoa Magufuli ujue huyo mtu ni kichwa. Wajinga ni kama wewe Paulsylvester na wenzio ambao mnamuabudu marehemu na ujinga wote aliotufanyia. Vyeti feki siyo hoja kwa vile hata yeye PhD yake ilikuwa ya forgery na Makonda naye alikuwa na cheti feki
 
Naamini fikra za watu kwanza zikibadilika kisha ndio ije hiyo mifumo imara, wenzetu wazungu hatujatofautiana kwa mifumo tu.

Akili za watu zibadilike ili kukidhi utashi wa kiongozi aliyeko madarakani ama? Akili za watu zitabalika vipi wakati wanafunzi wanapewa ufaulu usioendana na uwezo ili kulinda sifa za kisiasa?
 
Back
Top Bottom