Wananzengo napenda kuwasiliana nanaomba nisieleweke vibaya maana mm n shabiki wa arsenal napenda kusema na naomba ieleweke hivi kwenye suala Zima la uefa hakuna ligue yenye tmu Bora Kama Spain na hlo liko wazi syo liverpool tu hata tmu gani ya England inengekutana na Barca semi - final lazma wakalishwe tu Spain zinakuwaga wazembe Huku chini lakn ikifka huko juu n habar nyingine. Liverpool hawana ujanja wowote Wala mabavu kuizuia Barca isipate goli labda iwenyeme ushindi anfield lakn syo kuwanyima kupata goli. Hivyo mpaka Sasa liverpool out of championship. Final n Barca na ajax hapo Sasa lolote laweza kutokea maana ajax nao n hatar Sana na bado wananguvu na wengi ni vijana Sana.