Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa ccm wananchi wa Tanzania si wanaotaka Katiba mpya , bali Katiba mpya inatakiwa na wanasiasa ili watimize malengo yao, hii ndio kauli yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo.
Swali langu ni hili, yale maoni ya Tume ya Warioba yaliyopelekwa kwenye Bunge la Katiba yalitoka kwa nani ? ikumbukwe kwamba Maoni yale ni ya wanachi nchi nzima, kwa maana ya bara na visiwani yalipelekwa kwenye bunge Maalum la Katiba lililoongozwa na Mwenyekiti wake Samuel Sitta na Makamu mwenyekiti akiwa Samia Suluhu Hassan ambaye sasa ndio Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM anataka kutuaminisha kwamba Mchakato huu muhimu wa serikali ya awamu ya 4 ulikuwa mchakato Batili?
Swali langu ni hili, yale maoni ya Tume ya Warioba yaliyopelekwa kwenye Bunge la Katiba yalitoka kwa nani ? ikumbukwe kwamba Maoni yale ni ya wanachi nchi nzima, kwa maana ya bara na visiwani yalipelekwa kwenye bunge Maalum la Katiba lililoongozwa na Mwenyekiti wake Samuel Sitta na Makamu mwenyekiti akiwa Samia Suluhu Hassan ambaye sasa ndio Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM anataka kutuaminisha kwamba Mchakato huu muhimu wa serikali ya awamu ya 4 ulikuwa mchakato Batili?